Mzee katiba yako ipo wapi??!!!Akizungumza kwenye kipindi cha Dakika 45 ITV, makamu wa kwanza wa Rais na waziri mkuu mstaafu Jaji Warioba amesema taifa limeanza kurudi kwenye matabaka ya Waheshimiwa na Makabwela.
Amesema waheshimiwa zamani waliitwa Wa Benz
Au matabaka ya Raizoni na Kandambili
Jaji Warioba amesema hata Elimu kwa sasa haiangalii tena Uwezo na Uadilifu bali cheti.
Kipindi kitarushwa saa 3.00 usiku.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Rasimu!Mzee katiba yako ipo wapi??!!!
Katiba yake waliiua akina Mkwere na Sitta...laana itawatafuna hadi kizazi cha kumi!Mzee katiba yako ipo wapi??!!!
"Ubabe na unyonge kwa sasa ni wazi ndilo jambo linaloendelea nchini."
Hayo ni maneno ya mzee Warioba akiuponda Utawala unaoendeleza sera za kuwanyonya wanyonge na kuwakumbatia wenye mamlaka na Mali jambo ambalo mzee amesema tulikuwa tumeshaanza kuyasahau.
Msikilize wenyewe ITV kuanzia saa 3 usiku huu
Baadae ya miaka 5, utajutia maneno yakoPiga kazi tumecheleweshwa mno kama taifa mama
Mungu mbariki mzee Warioba"Ubabe na unyonge kwa sasa ni wazi ndilo jambo linaloendelea nchini."
Hayo ni maneno ya mzee Warioba akiuponda Utawala unaoendeleza sera za kuwanyonya wanyonge na kuwakumbatia wenye mamlaka na Mali jambo ambalo mzee amesema tulikuwa tumeshaanza kuyasahau.
Msikilize wenyewe ITV kuanzia saa 3 usiku huu
Bora mara 100 ya hawa kuliko mashetani ya Sukuma gang."Ubabe na unyonge kwa sasa ni wazi ndilo jambo linaloendelea nchini."
Hayo ni maneno ya mzee Warioba akiuponda Utawala unaoendeleza sera za kuwanyonya wanyonge na kuwakumbatia wenye mamlaka na Mali jambo ambalo mzee amesema tulikuwa tumeshaanza kuyasahau.
Msikilize wenyewe ITV kuanzia saa 3 usiku huu
Nyie si mlimsema hayati
Lingine lipo ndani kwa ugaidi nalo lilitaka liendelee kuwa libunge huku linapanga njama za kigaidi.Ni afadhali kurudi kule kule kuliko kuongozwa na watu wasiojulikana aka mazombie
Kwani vibao si alipigwa wakati wa Kikwete;ambaye ndie mshauli mkuu wa Samia.Walioba kasema kweli tupu, Nchi hii tunaanza kurudi kwa mambo tuliokwisha kusahau.Tumerejea tulipotoka ,je awamu hii alishawahi Kupigwa vibao?
na ndo maana bidhaa zikipanda Bei hazishuki.....!!!Ni afadhali kurudi kule kule kuliko kuongozwa na watu wasiojulikana aka mazombie
Itakuwa alishasamehe, huyu sio mbinafsi anazungumzia majorityTumerejea tulipotoka ,je awamu hii alishawahi Kupigwa vibao?