Tulikuwa na maadui wa tatu adui wa nne aliongezwa baadaye. Maadui hao ni : ujinga, umaskini, maradhi pamoja na dhuluma aliyeongezwa baadaye" anasema Mzee Warioba.
=====
Adui dhuluma alipigigiwa kelele na vita sana awamu ya kwanza na ya tano. Ya tano kwa maana ya kudhibiti kangomba ya korosho, dhuluma ya manunuzinya vifaa vya nishati jadidifu na mengineyo! Hata awamu nyingine adui dhuluma alipigiwa kelele mifano mnayo.
Lakini, nimegundua adui huyu dhuluma ni hatari sana. Inatakiwa mkakati madhubuti kumkabili. Kwa miaka 60 ya uhuru....wale waliojaribu kumdhibiti adui huyu wa"mejeruhiwa" sana. Kama taifa kila mtu kwa nafasi yake afikirie namna bora ya kumuondoa adui dhuluma! Kumbuka adui huyu ana"jeruhi" vibaya sana kila anayejaribu kumdhibiti, kwa hiyo mkakati wa kumdhibiti usiwe wa "kitoto"!!!