johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #61
Membe na Tundu Lisu wanaenda ACT wazalendo!Twende na Membe wana ccm wenzetu maana ndiyo chaguo letu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Membe na Tundu Lisu wanaenda ACT wazalendo!Twende na Membe wana ccm wenzetu maana ndiyo chaguo letu
Membe ni mgombea rasmi kwa tiketi ya ccm maana sisi wana ccm tunamuhitaji atuvushe mwaka huu 2020Membe na Tundu Lisu wanaenda ACT wazalendo!
Huu ni mwebdelezo wa kuimaliza chademaKuna tetesi hapa jijini Dodoma kuwa kada mkongwe wa CCM aliyewahi kuhudumu Nccr mageuzi mzee Stephen Wassira atajiunga Chadema.
Inadaiwa kuwa mzee Wassira amechukua uamuzi huo bila kuweka bayana sababu za kufanya maamuzi hayo.
Tusubiri, muda ni msema kweli.
Maendeleo hayana vyama!
Akina Chacha Marwa hawapendi ujinga ujinga ndio maana wengi ni makamanda CDM sio watu mdebwedo.Kuna tetesi hapa jijini Dodoma kuwa kada mkongwe wa CCM aliyewahi kuhudumu Nccr mageuzi mzee Stephen Wassira atajiunga Chadema.
Inadaiwa kuwa mzee Wassira amechukua uamuzi huo bila kuweka bayana sababu za kufanya maamuzi hayo.
Tusubiri, muda ni msema kweli.
Maendeleo hayana vyama!
utakuwa unaongelea webiro wasira yule mtoto wa wasira ambaye juzi alikuwa na ACT wazalendo.Kuna tetesi hapa jijini Dodoma kuwa kada mkongwe wa CCM aliyewahi kuhudumu Nccr mageuzi mzee Stephen Wassira atajiunga Chadema.
Inadaiwa kuwa mzee Wassira amechukua uamuzi huo bila kuweka bayana sababu za kufanya maamuzi hayo.
Tusubiri, muda ni msema kweli.
Maendeleo hayana vyama!
Bwashee namzungumzia mzee Stephen Masatu Wassira!utakuwa unaongelea webiro wasira yule mtoto wa wasira ambaye juzi alikuwa na ACT wazalendo.
Siasa ni sayansi!Anawezaje kujiunga na chama ambacho alisema kinakufa?
Kwanini?!Kama ni kweli basi ntashangaa sana kama chadema wakimpokea huyo babu
Siasa siyo uadui!Aliwaisema Chadema ni chama cha mashetani,video ipo
Huyu si ndio alitutabiria kifo huyu? Nauomba uongozi wa juu wa CHADEMA utuelewe, huku hatumtaki aisee! Anataka aje agombee kwenye jimbo la Bulaya? Hatumtaki, aende nccr mageuzo!Alafu akikosa anachokitafuta baadae arudi CCM huku akizusha kashifa nyingi na uongo mwingi kuhusu CHADEMA.
Hajawahi kustaafu, alishindwa.Yeye alishastaafu ubunge anataka nafasi ya juu zaidi!
So,akiamia CDM na yeye si atakua shetani?Siasa siyo uadui!
Kama alitoka wakati ule nini kitamzuia kutoka mida hii? Ila atoke akaungane na Bulaya, haiwezekani kabisaaaa.Siamini kuwa Mzee Wassira anaweza kutoka CCM. Hizo ni porojo tu.
Hata Lowassa watu hawakuamini!Siamini kuwa Mzee Wassira anaweza kutoka CCM. Hizo ni porojo tu.
Hatimae chadema yapata mgombea urais .Kuna tetesi hapa jijini Dodoma kuwa kada mkongwe wa CCM aliyewahi kuhudumu Nccr mageuzi mzee Stephen Wassira atajiunga Chadema.
Inadaiwa kuwa mzee Wassira amechukua uamuzi huo bila kuweka bayana sababu za kufanya maamuzi hayo.
Tusubiri, muda ni msema kweli.
Maendeleo hayana vyama!