Tetesi: Mzee Wassira kuhamia CHADEMA

Tetesi: Mzee Wassira kuhamia CHADEMA

Ngoja tuone labda atapewa nafasi ya upendeleo kwa maana wataka ubunge na urais wa CDM michakato ilishafungwa.

Au anaenda kustaafia siasa huko?
 
Kuna tetesi hapa jijini Dodoma kuwa kada mkongwe wa CCM aliyewahi kuhudumu Nccr mageuzi mzee Stephen Wassira atajiunga Chadema.

Inadaiwa kuwa mzee Wassira amechukua uamuzi huo bila kuweka bayana sababu za kufanya maamuzi hayo.

Tusubiri, muda ni msema kweli.

Maendeleo hayana vyama!
Huu ni mwebdelezo wa kuimaliza chadema
 
Kama ni kweli basi ntashangaa sana kama chadema wakimpokea huyo babu
 
Kuna tetesi hapa jijini Dodoma kuwa kada mkongwe wa CCM aliyewahi kuhudumu Nccr mageuzi mzee Stephen Wassira atajiunga Chadema.

Inadaiwa kuwa mzee Wassira amechukua uamuzi huo bila kuweka bayana sababu za kufanya maamuzi hayo.

Tusubiri, muda ni msema kweli.

Maendeleo hayana vyama!
Akina Chacha Marwa hawapendi ujinga ujinga ndio maana wengi ni makamanda CDM sio watu mdebwedo.
 
Kuna tetesi hapa jijini Dodoma kuwa kada mkongwe wa CCM aliyewahi kuhudumu Nccr mageuzi mzee Stephen Wassira atajiunga Chadema.

Inadaiwa kuwa mzee Wassira amechukua uamuzi huo bila kuweka bayana sababu za kufanya maamuzi hayo.

Tusubiri, muda ni msema kweli.

Maendeleo hayana vyama!
utakuwa unaongelea webiro wasira yule mtoto wa wasira ambaye juzi alikuwa na ACT wazalendo.
 
Anawezaje kujiunga na chama ambacho alisema kinakufa?
 
Alafu akikosa anachokitafuta baadae arudi CCM huku akizusha kashifa nyingi na uongo mwingi kuhusu CHADEMA.
Huyu si ndio alitutabiria kifo huyu? Nauomba uongozi wa juu wa CHADEMA utuelewe, huku hatumtaki aisee! Anataka aje agombee kwenye jimbo la Bulaya? Hatumtaki, aende nccr mageuzo!
 
Siamini kuwa Mzee Wassira anaweza kutoka CCM. Hizo ni porojo tu.
 
Siamini kuwa Mzee Wassira anaweza kutoka CCM. Hizo ni porojo tu.
Kama alitoka wakati ule nini kitamzuia kutoka mida hii? Ila atoke akaungane na Bulaya, haiwezekani kabisaaaa.
 
Kuna tetesi hapa jijini Dodoma kuwa kada mkongwe wa CCM aliyewahi kuhudumu Nccr mageuzi mzee Stephen Wassira atajiunga Chadema.

Inadaiwa kuwa mzee Wassira amechukua uamuzi huo bila kuweka bayana sababu za kufanya maamuzi hayo.

Tusubiri, muda ni msema kweli.

Maendeleo hayana vyama!
Hatimae chadema yapata mgombea urais .
Niko gym kidogo.
 
Back
Top Bottom