Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Nasikitishwa sana na kejeli ambazo baadhi ya wana jf wanazifanya kwa mzee wetu mwenye historia adhim ya taifa letu la Tanzania.
Mzee Mohamed Said ni mmoja Kati ya wazee wanaoheshimika sana pale darisalama na tanzania kwa ujumla.
Mzee wetu huyu ana historia kubwa sana ya tanzania na watu mashuhuri sehemu mbalimbali duniani.
Wanajamiiforum baadhi mmekosa heshima kwa kumuhusianisha mzee huyu na udini nasema hii sio sawa.
Mimi ni mkristo mkatoliki japo kwasasa niko passive kwasababu ya mwenendo wa viongozi wa kanisa; ila nasema wazi mzee Mohamed Said hatumtendei haki Sasa akiwa hai sasa mnasubiri atangulie mbele ya haki ndio muanze unafiki wenu?
Binafsi natanguliza kongole kwa mzee huyu na Mungu aendelee kumpa umri mrefu ili tuendelee kufaidi hazina yake.
Mungu mbariki mzee wetu Mohamed said kwa faida ya vizazi vya sasa na baadae.
Amen.
Mzee Mohamed Said ni mmoja Kati ya wazee wanaoheshimika sana pale darisalama na tanzania kwa ujumla.
Mzee wetu huyu ana historia kubwa sana ya tanzania na watu mashuhuri sehemu mbalimbali duniani.
Wanajamiiforum baadhi mmekosa heshima kwa kumuhusianisha mzee huyu na udini nasema hii sio sawa.
Mimi ni mkristo mkatoliki japo kwasasa niko passive kwasababu ya mwenendo wa viongozi wa kanisa; ila nasema wazi mzee Mohamed Said hatumtendei haki Sasa akiwa hai sasa mnasubiri atangulie mbele ya haki ndio muanze unafiki wenu?
Binafsi natanguliza kongole kwa mzee huyu na Mungu aendelee kumpa umri mrefu ili tuendelee kufaidi hazina yake.
Mungu mbariki mzee wetu Mohamed said kwa faida ya vizazi vya sasa na baadae.
Amen.