brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
KALI YA KUFUNGIA MWAKA
Msanii nguli wa taarabu nchini Mzee Yusuph yupo nchini africa kusini kushoot video yake mpya ya taarabu. hii itakuwa video ya kwanza ya taarabu kufanyika bondeni na director mkubwa nchini . bado haijafahamika kama video hiyo itapata nafasi ya kutambulishwa kwenye vituo vikubwa ya africa kama MTV BASE au TRACE TV.
Source: clouds tv
Msanii nguli wa taarabu nchini Mzee Yusuph yupo nchini africa kusini kushoot video yake mpya ya taarabu. hii itakuwa video ya kwanza ya taarabu kufanyika bondeni na director mkubwa nchini . bado haijafahamika kama video hiyo itapata nafasi ya kutambulishwa kwenye vituo vikubwa ya africa kama MTV BASE au TRACE TV.
Source: clouds tv