MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Asante sana cleverbright wangu,hakika wewe ni kisima cha maarifa.
Nimeisoma yote bila kuacha hata mstari mmoja.
Ruttashobolwa pitia huku....
asante na karibu sana nifah wangu ila kilichowaliza na kuwasikitisha wengi ni kwamba siku ya kesho ilikuwa Dereva Zungu aende akatoe na yeye basi lake binafsi jipya bandarini ( coastal mayai ) lakini kama haitoshi usiku huo huo alipopata ajali hiyo Mke wake ambaye ni Mwanasheria mzuri sana hapa jijini kama si nchini na yeye alikuwa anajifungua Agha Khan Hospital lakini cha mwisho kabisa kilichotuacha watu hoi hasa juu ya Kifo cha Dereva Zungu na huyo Mwanafunzi wa Chuo cha DSJ Mr. Deo ni kwamba ile safari ya study tour ya kwenda Mkoani Mbeya Dereva Zungu HAKUTAKIWA kwenda na Bosi wake ila ALIILAZIMISHA huku akileta tafrani pale ilipo Kampuni yao na wakati huo huo hata huyu Mwanafunzi wa Chuo cha DSJ Mr. Deo ambaye alikuwa ni Waziri Mkuu Serikali ya Wanafunzi DASJOSO na yeye pia HAKUTAKIWA kusafiri ila ALILAZIMISHA huku akigombana na Rais wa Serikali ya Wanafunzi wakati huo Mr. Isaac Mipao ( ambaye sasa ni Mtangazaji wa Habari wa ITV hasa zile habari za Saa ) huku Marehemu Deo akimtuhumu Mipao kwa UPENDELEO ndipo baada ya kikao kizito ikabidi Mr. Mipao awakate Viongozi wengine wa DASJOSO waliokuwepo safarini na nafasi yao akachukua Marehemu Deo ndipo mwishowe yakatokea yaliyotokea. kuna kitu cha kujifunza hapa jamani!