Mzee Yusuf na wakeze

Bahati mbaya mwaya..ukipata nafasi tafuta kwenye u tube,utamuona anvyojidai na wake zake mwenyewe anasema hajaoa mwanamke wa ovyo ovyo hata mmoja,vyote visu!
 
mimi sitaki hata kumsikia. huyu ndiyo aliye sababisha jerry tegete ashuke kiwango. kila show yake tegete anaingia bule. na anamnunulia pombe hadi anazimika.sasa alivyokuwa mjumbe wa yanga ndo mwisho kabisaa!. watu wapo kambini yeye anamtorosha. mwambie amuache mtoto wetu acheze mpira. Mia
 
Hii ya tegete nilikua siijui kumbe ndio yeye kamuharibu yule kijana wetu,basi hatufai huyu kaka!
 
Jamani chuki mchukieni lakin haki yake mpeni,huyo Tegeta mpaka anaharibiwa ni mtoto?
 
ina maana huyu ni kama yule kocha Magram alowaharibu kina J
 

kumbe ndio maana anko mpira siku hizi anacheza mdomoni!!...duh..nitamwambia apunguze
 
Kamharibuje?? em wekeni wazi hili swala....kamharibu vipi...??? tafazal sana tudumishe hii slogan yetu ya JF "were we dare to talk openly"
 
umenikumbusha enzi za utotoni tukiwa shule ya msingi, yule kijana umri wa rika letu alikuwa anatega kwenda shule, kwavile bibi yake alikuwa akiniona nae wakati mwengine, basi akanituhumu kuwa mimi ndo nasababisha asiende shule, wakati mimi shule nilikuwa never miss
 
Anajisifia ana wake wazuri sana
 
Jamaa ana visu vikali bwana!

Ila tuseme ukweli, Mzee yusuph ameleta revolution kwenye muziki wa taarabu.
 
Jamaa ana visu vikali bwana!

Ila tuseme ukweli, Mzee yusuph ameleta revolution kwenye muziki wa taarabu.

Enzi hizi sio za kuendekeza hayo mambo... wawe wazuri au wabaya..
 
Alimuharibu na nini? mnajua maana ya kumharibu? tena eti mnasema ameharibiwa na mwanaume mwenzake....mhhhh

ulisha muona wakati wa mazoezi? wenzake wanazunguka uwanja mala 8. yeye atazunguka 2 mala ya 3 atavua viatu na kubakia na socks mala ya nne atajifanya amekanyaga mwiba na kulala chini. mala asije mazoezi eti anaumwa ikifika usiku unamkuta travertine kaunga mduara kwenye show ya yusuph. wewe unaona poa?. Mia
 
Maneno ya marehemu Marijani...anasema ..ukewenza kwenu nyinyi ni fahar,lakini kwetu sisi matatizo...ukitazama clip kwa makini utamuona huyu mke wa mwanzo katika clip MZEE YUSUPH anapoanza kumzungumzia mke wake wa pili anakosa amani kiasi fulani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…