Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ulisha muona wakati wa mazoezi? wenzake wanazunguka uwanja mala 8. yeye atazunguka 2 mala ya 3 atavua viatu na kubakia na socks mala ya nne atajifanya amekanyaga mwiba na kulala chini. mala asije mazoezi eti anaumwa ikifika usiku unamkuta travertine kaunga mduara kwenye show ya yusuph. wewe unaona poa?. Mia
Kamharibuje?? em wekeni wazi hili swala....kamharibu vipi...??? tafazal sana tudumishe hii slogan yetu ya JF "were we dare to talk openly"
wake wengi au waume wengi kwa mme/mke mmoja ni moja ya kazi za shetani
Enzi hizi sio za kuendekeza hayo mambo... wawe wazuri au wabaya..
Maneno ya marehemu Marijani...anasema ..ukewenza kwenu nyinyi ni fahar,lakini kwetu sisi matatizo...ukitazama clip kwa makini unamuona huyu mke wa mwanzo katika clip MZEE YUSUPH anapoanza kumzungumzia mke wake wa pili anakosa amani kiasi fulani.
Mia acha kunichekesha bwana, hadi nimekugongea LIKE......unajua inawezekana mie sijawaelewa bado mnachomaanisha, sasa kwanini alikuwa anachoka haraka??na huko kumharibu ni kupi hasa, hebu tuwekane wazi bwana mia
anafanya asikae kambini, halafu haya mambo ya kuchomana hairuhusiwi unapokuwa kambini. inafanya mtu achoke halaka. kesho ntakuwekea picha za jerry uone. Mia
sasa mbona na yeye ni walewale!
Usituletee porojo zako za kule kwenye vigenge vyenu vya wavuta bangi. Mpuuuzi ww.wake wengi au waume wengi kwa mme/mke mmoja ni moja ya kazi za shetani
Hii ya tegete nilikua siijui kumbe ndio yeye kamuharibu yule kijana wetu,basi hatufai huyu kaka!