Mbona nasikia kuwa huwa anatoa na burudani nyingine ile ya Kimombasa, Kipemba na Kilamu japo Kisirisiri sasa kwanini asijikite tu kwa hiyo kwa wakati huu anaokutana na njaa kali kama anavyotanabaisha Yeye mwenyewe? au na hiyo biashara ya Kimombasa, Kipemba na Kilamu nayo siku hizi haina tena Soko kama huku nyuma?
Shikamoo Mzee Yusuph.
Nilisikia na Mzee Majuto naye aliamua kupumzika uigizaji hivi ni kweli? hebu niweke wazi kama unajua lolote kuhusu mzee yuleAngeendelea tu kutoa burudani ajiingizie kipato chake maana mwenyezi Mungu ndiyo kampa hicho kipaji.
Kwani alilazimishwa kuwacha kazi yake?asituzingueAliyekuwa Msanii nguli wa Taarab nchini Mzee Yusuph amesema kwa sasa maishayake yamekuwa magumu baada ya kuacha muziki
Baada ya kuacha muziki anadai alijaribu shughuli nyingine ikiwemo kufungua duka Kariakoo lakini duka likafeli, lakini anasema maisha yamekuwa ya amani kuliko zamani na hata mtu akimuomba hela haogopi kumwambia hana kwa sababu hana kazi
Pia alipoacha muziki alikuwa ameshachukua milioni 25 za show na alipoulizwa itakuje na show alizochukua hela alisema Allah ndio atajua
Usemayo nikweli mkuuAngeendelea tu kutoa burudani ajiingizie kipato chake maana mwenyezi Mungu ndiyo kampa hicho kipaji.
Ebu tufafanulie tujue huo udhalilishaji ni upi mkuu maana kufanya biashara mombasa, Pumba na lamu kama una leseni sioni kama ni tusiKwakuwa 'umesikia'
ndo unaona inakupa haki ya kumdhalilisha kwa sababu tu umesikia?
Vyote ambavyo watu wanasema tunasikia vingekuwa vinatumika
kama ndio facts kuwahukumu watu wewe ungebaki salama?
Mara ngapi?ajiunge na ccm atapata hela
Wacha kutuchekeshaNilisikia na Mzee Majuto naye aliamua kupumzika uigizaji hivi ni kweli? hebu niweke wazi kama unajua lolote kuhusu mzee yule