Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,151
- 6,261
Fuatilia interview Aliyofanya Na Times Fm Ndo utajua Mzee Yusuph Mikopo InavyomtesaaMzee Yusuf Hana njaa Kama wewe nyumbu unavyofikiri.
Kama mtu ana nyumba ya gorofa pale chanika,
Ana kampuni ya matofali ya cement,
Ana frem za kupangisha.
Na Ana harakati nyingine ndogo ndogo za kila siku.
funga mdomo heshimu watu.
hata mie nashangaa miradi yote ile pale chanika!! Ana eneo kubwa na limekaa sehemu nzur tu, cjui kakumbwa na nin?Mzee Yusuf Hana njaa Kama wewe nyumbu unavyofikiri.
Kama mtu ana nyumba ya gorofa pale chanika,
Ana kampuni ya matofali ya cement,
Ana frem za kupangisha.
Na Ana harakati nyingine ndogo ndogo za kila siku.
funga mdomo heshimu watu.
Alioa tena?ila tumuombee mung tu game limkubal kama zaman apate hela zimsaidie maana jamaa dizain kama anawake wawili vile ndo wamemtoa jasho kuwalisha hahahaha
Bora uyo mwana kampitia kiukweli mie moyo wangu burudaaani kumskia tenaUsicheze kabisa na mshkaji mmoja mwana tuu anaitwa shetani ..huyo mwana ni noma
Jr[emoji769]
Na anaweza akasema ivo ili tu muamini kile alichokisema ninyi, labda kamiss tu taarab yake kaamua kurudiFuatilia interview Aliyofanya Na Times Fm Ndo utajua Mzee Yusuph Mikopo Inavyomtesaa
Acha dharau'usitukane mamba kabla hujavuka mto'
eti mziki wa kishetwani;na shetani ameshamtema kwenye taarabu yake
alibugi,alitaraji angekuwa analipwa mshahara na maustaazi kumbe wao nao wanamtegemea
[emoji16]Mzee Yusuf Hana njaa Kama wewe nyumbu unavyofikiri.
Kama mtu ana nyumba ya gorofa pale chanika,
Ana kampuni ya matofali ya cement,
Ana frem za kupangisha.
Na Ana harakati nyingine ndogo ndogo za kila siku.
funga mdomo heshimu watu.
Huyo aliwamiss tu mabwana zake wa kiaraabu hana lolote na Mungu atamlaani zaidi