Sawa mkuu, naona umeichambua taarab hadi nikapata mashaka tu kama mzazi...[emoji2955][emoji2955]bila samahani mkuu, mimi ni kendrick rama
Wee mkorofi sana ha ha ha!Aisee!
Mzee Yusufu piga mziki na usiwasikilize wanao kudhihaki.
Unatafuta ridhiki halali kabisa na limeridhiwa na Katiba ya Nchi.
Mungu amekupa kipaji cha Kuimba na uimbe ipate ridhiki yako.
Ongeza Ubunifu ili Uongeze Uwezo Wako
Karibu uswaz uone watu wanavyoyarudi.Wakati si milele, upepo ushapita... hakuna mtu anataka taarabu zama hizi.
kama alijua ni njia halali kwann aliamua kuikashifu, BTW anajua sio njia halali ila ni njaa tuh za kiduniaMzee Yusufu piga mziki na usiwasikilize wanao kudhihaki.
Unatafuta ridhiki halali kabisa na limeridhiwa na Katiba ya Nchi.
Mungu amekupa kipaji cha Kuimba na uimbe ipate ridhiki yako.
Ongeza Ubunifu ili Uongeze Uwezo Wako
sheikh anasema bora hta ibilisi aliyemkataa mora wake moja kwa moja kuliko hyu anayemdhihaki laana zitamrudiaHatakaa arudi kileleni ..na huo ndio mwisho wake...kakangeuka kiapo cha kumkataa shetani na kumrudia Mola wake..akafinywa kidogo tu akafinyika...MUNGU HAJARIBIWI
ameshindwa kusoma nyakatiWakati si milele, upepo ushapita... hakuna mtu anataka taarabu zama hizi.
uswazi wanashindana singeli sio taarabu tenaKaribu uswaz uone watu wanavyoyarudi.
Karibu uswaz uone watu wanavyoyarudi.
Naimani ulitegemea ujio wako utatrend machochoro zote ila mwisho wa siku imekuwa kawaida sana tena umekuja kipindi watz wapo bize na morrison.
Mapokezi ya kawaida, show mbovu na umepoteza mvuto, na kilichobaki ni aibu na fedheha kwa upande wako. Kifupi muziki wa taarabu umeshakufa na kuzikwa muda mrefuuu na kamwe hautofufuka tena cz hauna mashabiki iwe bara iwe pwani na mambo ya vigodoro yalishafutwaga kitambo, na maukumbini tunaluka singeli za kina miss buza,
Najua global walikupamba tuh ili waingize pesa pale darLive ila kiukweli huna chamaana. Ndugu zako wakina Adija kopa, Isha mashauzi wameamia kwenye bfleva.
nb;
Mziki sio shule huwezi jipa likizo[emoji36]
Naomba niimbie ule wimbo wa 'My Valentine'Taarab itabaki kuwa taarab
ina mashabiki wake,kama unavyoona reggae
kwenye vichwa vya mashabiki anatamba mzee, mimi binafsi ntaendelea kuwa shabiki la muziki wa taarab na mzee yusuph na wengine wote wanaoimba taarab
Hii huwezi kuuiona kama hauna jicho la tatu, ila huu ndio ukweli ulio mchungu sanaHatakaa arudi kileleni ..na huo ndio mwisho wake...kakangeuka kiapo cha kumkataa shetani na kumrudia Mola wake..akafinywa kidogo tu akafinyika...MUNGU HAJARIBIWI
Wakiume ww acha hizo mambo za kudiss maniga wenzakotafuta kwanza kirefu cha neno diss halafu ndio unipangie jinsia za kuzidiss