Mzee Yusuph, waliokushauri wamekudanganya

Njaa sio udhuru wa kufanya maasia! Hawa makufar wanaokupamba humu wanafurahi kukuona umerudi kwenye "mila" zao! Kumbuka onyo hili: Hawatakaa watulie mpaka mufuate mila zao!!!,,,

Bro mtu akiwa na njaa kali na hakuna chakula kingine karibu anaruhusiwa kula hata nguruwe ili asife maana akifa njaa atakua ameudhulumu nafsi yake. Sahihi au sio sahihi?... je mzee Yusuf afe njaa au afanye awezalo kujinasua?
 
Bro mtu akiwa na njaa kali na hakuna chakula kingine karibu anaruhusiwa kula hata nguruwe ili asife maana akifa njaa atakua ameudhulumu nafsi yake. Sahihi au sio sahihi?... je mzee Yusuf afe njaa au afanye awezalo kujinasua?

Duh hoja umeiweka mahala sio. Mzee yusuph hana njaa ya kufa...yeye ana njaa ya mafaniko aliyokuwa nayo ya mali na vitu. Hivyo njaa ya kufa sio njaa ya mzee yusuph
 
Labda sikuwepo dar live hiyo siku
 
Mtu kajaza watu karibia elfu 8 pale dar live halaf unaropoka eti kashuka kimziki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…