MZIGO KULETA KUTOKA GUANGZHOU (Naomba Msaada)

MZIGO KULETA KUTOKA GUANGZHOU (Naomba Msaada)

saq

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2011
Posts
268
Reaction score
12
Wakuu wa JF,

Nahitaj. ushauri yenu, kama mtu anaytaka kuleta mzigo kadogo za vitu mbali mbali za kompyuta na electronics.
Una safirishaje ?
Kwa njia ipi kama sio kontena nzima hayfiki ?
 
zipo kampuni zinazoweza kukusaidia kuuleta kutoka hapo uliponunua mpaka kwako,hapa Tanzania,gharama unalipia hapa Tanzania,kama utapenda kupata maelezo ya kina tuma email: kkmarketing61@yahoo.com, tutakuunganisha na baadhi ya hizo kampuni.
 
Back
Top Bottom