joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Kenya: Swelling Public Debt Interfered With SGR Extension to Kisumu, Yatani
Hiyo ni kwa mujibu wa waziri mpya wa deda wa Kenya, kauli hii inagonga msumari wa mwisho katika jeneza la matumaini ya Kenya kuwa na reli ya kisasa inayotumia umeme kama alivyokua akitoa ahadi za uongo Bw. Macharia.
Tanzania njia ni nyeupe kuunganisha nchi zote za Afrika mashariki yaani Rwanda, Uganda, Burundi, DRC na South Sudan kwa kutumia Bullet trains. Ama kweli kuchimba sana sio kumaliza uchafu, ujanja mwingi mwisho ni giza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni kwa mujibu wa waziri mpya wa deda wa Kenya, kauli hii inagonga msumari wa mwisho katika jeneza la matumaini ya Kenya kuwa na reli ya kisasa inayotumia umeme kama alivyokua akitoa ahadi za uongo Bw. Macharia.
Tanzania njia ni nyeupe kuunganisha nchi zote za Afrika mashariki yaani Rwanda, Uganda, Burundi, DRC na South Sudan kwa kutumia Bullet trains. Ama kweli kuchimba sana sio kumaliza uchafu, ujanja mwingi mwisho ni giza
Sent using Jamii Forums mobile app