Mzigo mkubwa wa madeni ndio sababu kuu ya SGR kuishia porini, Kamwe haitofika Malaba wala Kisumu

Mzigo mkubwa wa madeni ndio sababu kuu ya SGR kuishia porini, Kamwe haitofika Malaba wala Kisumu

Afdb usually don't finance 100% of the project. They usually contribute a certain percentage of the value of the project. Plus this railway is a white elephant. East Congo bado wanalipuana marisasi na mabomu, hio treni italipuliwa tu. Loan yenu ni more expensive than WB ila sijui kama ni more expensive than yetu. East Africa hakuna nchi iliyopata mkopo wa WB kujenga reli.
Airport and Ringroad Dodoma wame-finance nearly 90% for each! Na unaona tayari feasibility study ya central corridor is fully funded by AfDB! Mzee utakufa kwa maumivu ya kwanini central corridor is getting more backup than Northern corridor! Wait and see when they decline to finance then come n talk! BTW Mwanzo argument ilikuwa Tanzania can't build SGR now after phase I phase II got financed by syndicate loan and hence being guaranteed of a faster construction to Mwanza! As phase III is to be launched this month! keep disbelieving!!





SA financier steps in with initial $100m for Isaka-Kigali SGR

https://www.afdb.org/fileadmin/uplo...ti_Railway_Project_Study-Appraisal_Report.pdf

EAC’s Untold Story: A New Start for Regional Infrastructure Development?
 
Kumbuka hadi miaka ya 1995 Tanzania ilikuwa nchi ya 3 kutoka mwisho kwa umasikini ,ndiyo maana tz inawashangaza wengi Africa na ulaya ,na hakuna nchi yoyote Africa iliyoweza kufanya hata nusu ya move ambayo tz imefanya ndiyo maana hata nyinyi wakenya mnashangaa vipi imewezekana kuwa na Dar vs Nairobi wakati tz ilikuwa nyuma sana hivi majuzi tu.Ukweli ni kwamba nawapeni wakenya miaka 4 tu ijayo kwa tz tutakuwa mbali kiasi hakuna hatakaye subutu kushindana na sisi Bali kuja kujifunza ,mnaposikia Tanzania tunachakula kingi hadi tunakalibia kulisha Africa msidhani ni kwasababu ya ardhi yenye rutuba tu nchi nyingi zinayo ardhi yenye rutuba ila zinategemea chakula kutoka Tanzania Mfano sekta ya elimu miaka ya 1992 hadi 2012 Watoto wa tz walijazana kusoma shule za Kenya na Uganda Ila sasa mambo yamebadilika shule nzuri zimejaa tz na shule za serikali zimeongezeka na kuboreshea kingine hata secta ya afya tz tumepanda sana kutoka nchi 10 duni hadi tupo kwenye 5 bora
Pesa ya kujenga watatoa wapi? Hivi unajua priority ya serikali hizi kweli? Priority ni kujenga barabara ama kujenga reli? Hata power grid hawana maana umeme upo Juba tu. Waanze kujenga power grid kwanza wapeleke umeme kwa wananchi wao kwanza kisha waanze kufikiria mambo ya bullet train. Hata piped water hawana. Hivi nyie Watanzania mnadhani kuwa S. Sudan ni nchi kweli au ni mfano wa nchi? S.Sudan ni top ten poorest countries in the world. Burundi ni shithole sana. Hamna kitu cha maana pale Burundi. Bullet train ni kitu cha kifahari, nchi kama Uganda, Kenya, Tanzania na Ethiopia pekee ndio zinaweza kujenga. Somalia nayo ni shithole ingine, haiwezi kujenga bullet train kwa miaka mia moja ijayo. Vita huwa inafilisisha nchi kabisa. Waanze kujenga barabara kwanza na kuwapa watu maji safi kabla ya kurukaruka eti bullet train. Hao bullet wanayoijua ni ya bunduki tu.

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Pesa ya kujenga watatoa wapi? Hivi unajua priority ya serikali hizi kweli? Priority ni kujenga barabara ama kujenga reli? Hata power grid hawana maana umeme upo Juba tu. Waanze kujenga power grid kwanza wapeleke umeme kwa wananchi wao kwanza kisha waanze kufikiria mambo ya bullet train. Hata piped water hawana. Hivi nyie Watanzania mnadhani kuwa S. Sudan ni nchi kweli au ni mfano wa nchi? S.Sudan ni top ten poorest countries in the world. Burundi ni shithole sana. Hamna kitu cha maana pale Burundi. Bullet train ni kitu cha kifahari, nchi kama Uganda, Kenya, Tanzania na Ethiopia pekee ndio zinaweza kujenga. Somalia nayo ni shithole ingine, haiwezi kujenga bullet train kwa miaka mia moja ijayo. Vita huwa inafilisisha nchi kabisa. Waanze kujenga barabara kwanza na kuwapa watu maji safi kabla ya kurukaruka eti bullet train. Hao bullet wanayoijua ni ya bunduki tu.
Kuhusu Burundi hata tz tunaweza kuwa jengea kama China ilivyo wajengea nyinyi kwa mikataba tena tujapata faida kwa hiyo mikataba

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Pesa ya kujenga watatoa wapi? Hivi unajua priority ya serikali hizi kweli? Priority ni kujenga barabara ama kujenga reli? Hata power grid hawana maana umeme upo Juba tu. Waanze kujenga power grid kwanza wapeleke umeme kwa wananchi wao kwanza kisha waanze kufikiria mambo ya bullet train. Hata piped water hawana. Hivi nyie Watanzania mnadhani kuwa S. Sudan ni nchi kweli au ni mfano wa nchi? S.Sudan ni top ten poorest countries in the world. Burundi ni shithole sana. Hamna kitu cha maana pale Burundi. Bullet train ni kitu cha kifahari, nchi kama Uganda, Kenya, Tanzania na Ethiopia pekee ndio zinaweza kujenga. Somalia nayo ni shithole ingine, haiwezi kujenga bullet train kwa miaka mia moja ijayo. Vita huwa inafilisisha nchi kabisa. Waanze kujenga barabara kwanza na kuwapa watu maji safi kabla ya kurukaruka eti bullet train. Hao bullet wanayoijua ni ya bunduki tu.
Umeme wa sgr hii tunayo jenga utatumika wa tz hata ikifika DRC ,Rwanda ,Burundi , Uganda, umeme ni watz faida nyingine hiyo kwa tz watz tunaona mbali siyo nyinyi

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Hio route ya Mwanza to Uganda iko viable lakini hio route ya Kigoma to Burundi is not economically feasible. Sisi kama wachumi huwa tunaangalia kama nchi ina uwezo aidha wa kuomba loan kubwa ya kujenga reli au kama ina kusanya taxes za kutosha kujenga reli. Burundi haiwezi kujenga reli. Haikusanyi tax ya kutosha na Hamna benki inayoweza kuipa loan ya mabilioni ya dollar. Ndio, Tanzania mtajenga reli hadi kwenye border ya Burundi lakini shithole Burundi itashindwa kupata pesa ya kujenga reli kutoka border hadi Bujumbura. Uganda wanaweza jenga reli kwa sababu wana uchumi strong kidogo. Sio nchi zote zinazoweza kujenga reli.
Wakishindwa tunawajengea kwa mikataba kama ya mchina mliyoingia nyinyi

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Kenya: Swelling Public Debt Interfered With SGR Extension to Kisumu, Yatani

Hiyo ni kwa mujibu wa waziri mpya wa deda wa Kenya, kauli hii inagonga msumari wa mwisho katika jeneza la matumaini ya Kenya kuwa na reli ya kisasa inayotumia umeme kama alivyokua akitoa ahadi za uongo Bw. Macharia.

Tanzania njia ni nyeupe kuunganisha nchi zote za Afrika mashariki yaani Rwanda, Uganda, Burundi, DRC na South Sudan kwa kutumia Bullet trains. Ama kweli kuchimba sana sio kumaliza uchafu, ujanja mwingi mwisho ni giza

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni kwa sababu ya unafiki wa wakenya kutopenda shirikiana na waafrika mashariki wenzao kwa thati. Mara zote wakenya wamekuwa mstari wa mbele sana kumthamini mzungu kuliko ndugu zao wa damu moja. Kila kitu wanacho ambiwa na mzungu wao wanatekeleza bila kuangalia manufaa na hasara za vitendo vyao hivyo kwa ndugu zao.

Wakenya sisi watanzania ni ndugu zenu wa dhati hata mtukane vipi. Kutukana sisi kwa kutuona sisi ni washamba tusiojua kiingereza sio busara na msingi wa kudumisha undugu wetu na umoja wa Afrika da mashariki. Msijivunie lugha ya kiingereza wakati ambapo mara nyingi ina wasababishia matatizo ya kuto kuwa na maelewano thabiti kati yenu na majirani zenu.

Tukae pamoja na tushirikiane ki ukweli na sio kinafiki. Jitahidini kuipenda lugha yetu ya asili ya kiswahili ambayo waasisi wa kanda yetu na wa mataifa yetu wametuachia. Hii lugha ndiyo msingi wa umoja wetu na mshikamano wetu kwa maendeleo ya pamoja ya wana afrika mashariki. Nyie ni ndugu zetu tuu. Hata mfanye nini tuko pamoja.

SGR yetu tutaijenga kwa pamoja kwa manufaa yetu sote na vizazi vyetu vya baadae. Tusifanye vitu kwa ajili ya kushindana, kwa kufanya hivyo hatuta fanikiwa. Tumieni maarifa yenu kuwasaidia wengine wasio weza na wao muwaruhusu wawarekebishe mnapoona kuna upungufu. Hatuwezi wote tukawa sawa kwani historia yetu katika kipindi cha Uhuru ilipata dosari kidogo ambayo ilitufanya sisi kupoteza jumuia yetu ambayo kwa namna moja au nyingine kama tungekuwa tumeilinda kwa pamoja ingetufikisha mbali sana.

Nawaomba ndugu zetu wakenya acheni unafiki wa kukubali kutumiwa na mabeberu ambao mda wote wanataka kutudhoofisha sisi. Pingeni nguvu zote za kutoka nje ambazo zina malengo ya kutugawa sisi na kutusambaratisha. Kuweni imara katika msimamo wenu wa kutetea u Afrika mashariki wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mnaona unafiki wa Qakenya ulivyo?

Ningemwomba Rais wetu na watendaji wote wa serikali wenye mamlaka ya mahusiano yetu na wakenya kuto wachukulia serious sana wakenya wakifanya nao makubaliano. Wakenya toka Rais Jomo Kenyatta aondoke wamekuwa na msimamo mwingine kuhusu culture yao. Wanajihusisha sana na culture na maendeleo ya wazungu. Wanaamini kuwa maendeleo ya wazungu ni maendeleo yao pia. Hawajitambui kuwa wanajidanganya wenyewe. Au kuna watu ambao wanawashauri vibaya.

Kwa mfano haya makubaliano ya Bilateral Trade Agreement kati ya Kenya na Amerika, ingekuwa busara akamwambia Rais Trump mbele yake kuwa asubiri kwanza akashauriane na wa East-African wenzake kabla ya kukubali kutia sain ya makataba huo.

Mimi naona vyombo vya habari vya wakenya mara nyingi huwa hawavizungumzii positive kuhusu sisi. Sielewi kwa nini. Kazi yao kubwa ni kuwa intimidate watanzania na kujikuza wao wenyewe kuwa wao ni bora na kila wanacho kifanya ni kizuri zaidi kuliko sisi. Hii ni tabu sana kwao.

Nawasihi watanzania wenzangu hili swala la East African community tusilitilie maanani sana kwa sasa mpaka tumeona msimamo wa wakenya kwa mabeberu wao umeendaji.

Namshukuru Rais wetu wa awamu ya nne Mh. Jakaya Kikwete kwa msimamo wake juu ya kutokubali haraka kutia saini ya makubaliano ya kuirudisha tena Jumuia ya umoja wa Mashariki hususani maswala yanayo husu free movement. Aliwaza mbali sana Rais wetu yule. Hivi sasa tungekuwa tumeingia mkenge kama tunge kurupuka.

Angalieni pia jinsi gani wakenya walivyo kuwa na kiherehere na EPA. EPA nayo walikuwa faster katika kutia sain mkataba. Hawakai hata mara moja na wenzao wakashauriana na kupima hasara na faida ya mikataba hiyo, wao wanakurupuka tu na kutegemea kuwa kila kitu kitakuwa OK kwao.

Kwa hali hii mimi naona wakenya wanaupungufu wa kutojiamini wenyewe na vile vile hawawaamini majirani zao kuwa wanaweza wakashirikiana nao katika kutatua matatizo yetu wenyewe na kuleta mafanikio ya pamoja. Na ndiyo maana hata wanashindwa kuwadhibiti materorist kwenye nchi yao. Katika kukabiliana na hili swala sina uhakika kama wamewashirikisha majirani zao kama Tanzania, Uganda, Sudani ya Kusini, Rwanda na Burundi. Naona katika hili swala la magaidi, wao wanaona waamerika ndiyo watu watakao wasaidia zaidi kuliko vidampa kama sisi. Tatizo hawaijui spirit ya watanzania katika maswala yanayo husu amani na usalama wetu, laiti wangelijua hilo wasinge tapatapa kiasi hicho.

Nahitimisha mchango wangu kwa kumwomba tena Rais Magufuli kuachana na mikataba yote inayo husu Jumuia ya umoja wa Afrika Mashariki kwani, naona wakenya wenzetu hawana ile interest ya kutaka kushirikiana na wakoma kama sisi kwenye maswala yanayo husu maslahi yao. Tuachane nao.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom