Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,785
- 821
Kweli nimeamini msemo
usemao "mzigo mzito mtwishe
mnyamwezi" kuna viongozi
fulani wa serikali ya wanadamu
waliomba fedha kwa ajili ya
kuboresha elimu kwenye nchi
hiyo, badala yake
wakazikwapua zote, lakini
wafadhili wao wakawa
wanahitaji taarifa ya matumizi.
Wakaamua kuwatwisha walimu
wa nchi hiyo mzigo kwa
kufundisha bure, kuwatungia
vitest uchwala viiingi ili
wasahihishe bure, na tuvitisho
kibao twa kishamba-kishamba,
kwa walimu 'wanyamwezi' wa
nchi hiyo.
usemao "mzigo mzito mtwishe
mnyamwezi" kuna viongozi
fulani wa serikali ya wanadamu
waliomba fedha kwa ajili ya
kuboresha elimu kwenye nchi
hiyo, badala yake
wakazikwapua zote, lakini
wafadhili wao wakawa
wanahitaji taarifa ya matumizi.
Wakaamua kuwatwisha walimu
wa nchi hiyo mzigo kwa
kufundisha bure, kuwatungia
vitest uchwala viiingi ili
wasahihishe bure, na tuvitisho
kibao twa kishamba-kishamba,
kwa walimu 'wanyamwezi' wa
nchi hiyo.