Pionaire
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 1,603
- 1,135
Habari wana JF,
Nauza hichi kitanda cha 5x6...Nilikinunua mwezi wa 3 tarehe 17 hivyo kina miezi mitatu kasoro tu tokea kinunuliwe na upya wake, kikiwa kipya kinauzwa Tsh 547,000/= cash...nakiuza Tzs 420,000/=
Ni mali halali si ya wizi na hakina tatizo lolote bali ninahitaji hiyo pesa niitumie katika mipango yangu mengine ya maendeleo, mteja anakaribishwa na bei pungufu inasikilizwa pia, nipo Dar napatikana kwa 0712269097...KARIBUNI.
Nauza hichi kitanda cha 5x6...Nilikinunua mwezi wa 3 tarehe 17 hivyo kina miezi mitatu kasoro tu tokea kinunuliwe na upya wake, kikiwa kipya kinauzwa Tsh 547,000/= cash...nakiuza Tzs 420,000/=
Ni mali halali si ya wizi na hakina tatizo lolote bali ninahitaji hiyo pesa niitumie katika mipango yangu mengine ya maendeleo, mteja anakaribishwa na bei pungufu inasikilizwa pia, nipo Dar napatikana kwa 0712269097...KARIBUNI.