[emoji1] [emoji1] soon tu tutauhitajiUsifanye niombwe mkojo mkuu.n
Karibu mkwee. Umepata mume handsome balaa..Wow. Mi mkwe wako basi[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Wow[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]Karibu mkwee. Umepata mume handsome balaa..
Kuangalia mpiraNi burudani gani unayoipenda katika maisha yako?
Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
Dah! Ndo shida ya kuongea Na mtu kajificha nyuma ya keyboard ukadhani mzima kumbe ana vyeti vya mirembe Na katoroka!...usaili gani maswali yenyewe ya kisengesenge tu!
...unamzimia huyo single mother ila unamhanya ndo mana unatumia njia ndeeeeefu ya usahili wa kibwabwa;
..mpe hela ya pampers tu huyo ukaoshe rungu!
(usiniquote tena we bwabwa)
Hapa kwa wanaume mwali umelenga penyewee,tangu nikiwa kigori mama yangu aliniambia ogopa mwanaume wa kizigua teh teh teh! Wavivu,wa kibondei Malaya,wa kidogo hata sisemi maana ndo kabila languWanawake wa kizigua kikubwa tulichojaaliwa ni mapenzi na huwa tunajali sana wengine especially tunaowapenda..
Wanaume wa kizigua siwajui kiviiile ila wengi wavivu na hawapendi elimu. Huwa wanaridhika na kidogo walichonacho hawapendi kutafuta vikubwa
Safi sana!!! Ni club gani ya soka unaihusudu?Kuangalia mpira
Mzigua Mimi nakushukuru kwa taimu yako pia nikutakie good weekendUsifanye niombwe mkojo mkuu.n
Wow!Do you like sex??
Wa kidigo mule mule... kwa kifupi wanaume wa mwambao wa bahari ni majipuuuu...Hapa kwa wanaume mwali umelenga penyewee,tangu nikiwa kigori mama yangu aliniambia ogopa mwanaume wa kizigua teh teh teh! Wavivu,wa kibondei Malaya,wa kidogo hata sisemi maana ndo kabila langu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanga na ChelseaSafi sana!!! Ni club gani ya soka unaihusudu?
Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
Nashukuru pia mkuu..Mzigua Mimi nakushukuru kwa taimu yako pia nikutakie good weekend
Sasa jibu maswali ya members
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wewe mfyuuWow!
Thats why I love you shemela.
Natamani swali lingekuwa langua. Afu nexxt questions iwe.
Pozi gani unalipendaaa?
Shemelaaaa
Hakika umenena! Watujia wadigo tusivyopenda kazi ngumu teh teh teh! Sie tukilala na 1000 tunaona kama tumelala na milioni teh teh teh!Wa kidigo mule mule... kwa kifupi wanaume wa mwambao wa bahari ni majipuuuu...
Nimekupenda bure wallahYanga na Chelsea
Mdigo akila wali wake na samaki kanywa na maji baridi na kafunga msuli wake huku anacheza bao walaaaa hana wasiwasi wa kutafuta million. Wanaume wa pwani shida yao ni kukosa mke tu baasi, akishapata mke maisha kayamaliza maana uhakika wa kula anajua upo akienda deep sea hakosi samaki wa kurudi nao nyumbani... ndugu zangu wananichoshaga sana!!Hakika umenena! Watujia wadigo tusivyopenda kazi ngumu teh teh teh! Sie tukilala na 1000 tunaona kama tumelala na milioni teh teh teh!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ligi ikianza itabidi uje kwangu tuangalie mechi za mwanzoni.Yanga na Chelsea
Na wewe ndo timu zako nini?Nimekupenda bure wallah
Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app