Mzigua90 kikaangoni

Sijasema kwa sababu kazaliwa na mazazi mmoja, nimemuuliza yeye kama mama ana ndoto zipi kwa mwanae.?
Umeongea as if mimba zinazopangwa ndo hazitoi watoto wasio na maadili.. mbona watoto wengi tu wamezaliwa ndani ya ndoa na ndo wana tabia zote mbaya unazozijua... hata mimi nililelewa na mama pekee mbona sio kikwazo kwenye jamii yangu.
 
Umeongea as if mimba zinazopangwa ndo hazitoi watoto wasio na maadili.. mbona watoto wengi tu wamezaliwa ndani ya ndoa na ndo wana tabia zote mbaya unazozijua... hata mimi nililelewa na mama pekee mbona sio kikwazo kwenye jamii yangu.


Wazazi wengi mlopata watoto wa nje mkishaolewa mnawasahau wanenu, mnawajali mlowapata ndani ya ndoa mliopo : Wanaume walowaoa wengine huwa hawataki hata kuwasikia watoto wenu wa nje, mnawasukumia baba zao na ukikuta baba yake nae haeleweki au ana familia nyingine ndo kabisaa watoto wengi mnawafanya vibaka.. msijisahau
 
Wanawake wa kizigua kikubwa tulichojaaliwa ni mapenzi na huwa tunajali sana wengine especially tunaowapenda..
Wanaume wa kizigua siwajui kiviiile ila wengi wavivu na hawapendi elimu. Huwa wanaridhika na kidogo walichonacho hawapendi kutafuta vikubwa
Kwa iyo kwa kusema ivyo wewe unapingana na wanaume wa kizigua kwa maana ktk moja ya post zako umesema unavutiwa na mwanaume mwenye focus ya kutafuta pesa pamoja na mzuri darasani kama sikosei.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…