Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
- Thread starter
-
- #21
HahahahaMambo yashakuwa mengi...
Hivi siku kuu zimeisha eeehh, na watoto wetu washaenda shule tayari...
Hongereni sana wazazi kwa kutimiza wajibu...
Mzigua90 hongera kwa kupata mupenzi
Mwenzako mtanga wewe muarusha..! Kuna tofauati kubwa..Mpe hela hataki mashairi
Msongamano kama wote[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
We dada akee shunie ebu hurumia mbavu zangu jamaniUnacheka nini hebu
Mbona moyo umeniuma ghaflaOoh Kasuku mwenye sauti nyororo
mususu ya solo ndombolo
Na bando letu la buku twaperuzi mpaka tommorrow
Mambo iko huku penzi twalila kwa soro Hmmm anipelekesha msobe msobe Kama fuso lapanda mlima
Na nilivyo fundi kuchelewesha Kobe kobe Simpi dusko nzima nzima
(aah) Mukoroge sumu mnywe kwenye vijiba vya roho
Yatawatoka mapunye Mumwe kwashakoo Tena wavimbe na wanune ishakua yako
Itafune imung'unye ifike kunako
ooh baby Kushika kiuno (tamu)
Niku chumu chumu (tamu)
Nikikukumbatiaa (tamu) Tamu kolea
Penzi letu baby (tamu) Yani mpaka kisogoni (tamu) torororoo (tamu) tamu kolea
Baby tufanye wazi wazi watuone
Picha weka DP na makopa kopa caption Baby walokosa kazi wanong'one Wapandishe BP Wapumue kwa oxygen Waambie vimberu mberu Sio penzi la mashaka
Tushasoma dua kusitirika Kwa wenye macho ya paka
Wambiee Mimi beberu sio jogoo la pasaka
Wanajizugua kukunja ndita watazeeka haraka
Steel wire ananisugua (Kwa makovu kovu) Hanaga mbaya laazizi (Show mbovu mbovu)
Tena fundi mwaya Kazi anaijua (My love love)
Haijawahi kupwaya yani kiivi
Mukoroge sumu mnywe kwenye vijiba vya roho
Yata wa toka mapunye mumwe kwashakoo
Tena wavimbe na wanune ishakua yakoo Itafune imung'unye ifike kunako
ooh baby Kushika kiuno (tamu)
Niku chumu chumu (tamu)
Niki kukumbatiaa (tamu) Tamu kolea
Penzi letu baby (tamu) Yani mpaka kisogoni
(tamu) Torororoo (tamu) Tamu kolea
Ebo baby mtoto kakua (Kasimama dede) Nimtazame (Kasimama dede)
Mwana anatembea (Kasimama dede)
Yani tee tee Anataka aking'ate (Kasimama dede)
Kaona kitumbua (Kasimama dede) Amekua baba (kasimama dede)
Yani tete teteee
Mzigua90
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo handsome wangu
Yeah fresh kabisa ..mbukweee
Asante dadaMambo yashakuwa mengi...
Hivi siku kuu zimeisha eeehh, na watoto wetu washaenda shule tayari...
Hongereni sana wazazi kwa kutimiza wajibu...
Mzigua90 hongera kwa kupata mupenzi
Acha kuharibu lugha za watu basi! Nafikiria hapa nikutupie kibao gani uanze nacho weekendYeah fresh kabisa ..mbukweee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...potezea basiAcha kuharibu lugha za watu basi! Nafikiria hapa nikutupie kibao gani uanze nacho weekend
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji4] leo ngoja nikuache[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...potezea basi
Hahaha hahahaWe dada akee shunie ebu hurumia mbavu zangu jamani
Ooh Kasuku mwenye sauti nyororo
mususu ya solo ndombolo
Na bando letu la buku twaperuzi mpaka tommorrow
Mambo iko huku penzi twalila kwa soro Hmmm anipelekesha msobe msobe Kama fuso lapanda mlima
Na nilivyo fundi kuchelewesha Kobe kobe Simpi dusko nzima nzima
(aah) Mukoroge sumu mnywe kwenye vijiba vya roho
Yatawatoka mapunye Mumwe kwashakoo Tena wavimbe na wanune ishakua yako
Itafune imung'unye ifike kunako
ooh baby Kushika kiuno (tamu)
Niku chumu chumu (tamu)
Nikikukumbatiaa (tamu) Tamu kolea
Penzi letu baby (tamu) Yani mpaka kisogoni (tamu) torororoo (tamu) tamu kolea
Baby tufanye wazi wazi watuone
Picha weka DP na makopa kopa caption Baby walokosa kazi wanong'one Wapandishe BP Wapumue kwa oxygen Waambie vimberu mberu Sio penzi la mashaka
Tushasoma dua kusitirika Kwa wenye macho ya paka
Wambiee Mimi beberu sio jogoo la pasaka
Wanajizugua kukunja ndita watazeeka haraka
Steel wire ananisugua (Kwa makovu kovu) Hanaga mbaya laazizi (Show mbovu mbovu)
Tena fundi mwaya Kazi anaijua (My love love)
Haijawahi kupwaya yani kiivi
Mukoroge sumu mnywe kwenye vijiba vya roho
Yata wa toka mapunye mumwe kwashakoo
Tena wavimbe na wanune ishakua yakoo Itafune imung'unye ifike kunako
ooh baby Kushika kiuno (tamu)
Niku chumu chumu (tamu)
Niki kukumbatiaa (tamu) Tamu kolea
Penzi letu baby (tamu) Yani mpaka kisogoni
(tamu) Torororoo (tamu) Tamu kolea
Ebo baby mtoto kakua (Kasimama dede) Nimtazame (Kasimama dede)
Mwana anatembea (Kasimama dede)
Yani tee tee Anataka aking'ate (Kasimama dede)
Kaona kitumbua (Kasimama dede) Amekua baba (kasimama dede)
Yani tete teteee
Mzigua90
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona moyo umeniuma ghafla
Be Humble is free of charge [emoji873]