Nadhani toka umeingia jamii forums hili itakuwa post ilio legit toka kwako kuliko nyinginezo zote. Nishasemaga mziki ili uwe mzuri lazima production iwe nzuri...ni lazimaaaa!!!
Beats iwe inavutia kusikiliza kama si kuchezeka pia iwe mastered vizuri isiwe na kelele sana zinazoweza chosha kusikiliza.
Kwa sasa BigStrongSound ndio producer anaetisha kwa ku drop hits za Nigeria...Nyimbo kama IF ya Davido, sikiliza YAWA ya Tecno, RARA, DIANA utaona jinsi beat inavyoweza kufanya track iwe hit song.
Kwa Bongo recently T.Touch ana mkono mzuri wa kufanya hits bila kumsahau producer LUFFA.
Kwa T.Touch sikiliza Furaha ya young dee, Muziki ya darasa, Kiboko ya Mabishoo ya harmo rapa, Muziki ya darasa, Saka hela ya Ney wa mitego, bongo bahati mbaya n.k
Luffa sikiliza production ya Waya ya weusi, Juu ya jux na vanessa, Sina koloni ya Motra, Your body ya Godzilla na Maua sama, Go low ya jux na G nako n.k
Manecky kwake sikiliza, Nina imani nyimbo flani ambayo jux kashirikishwa, Acha niende ya Baraka d prince,Samboira ya ben pol, Sisikii jux, nyimbo nyingi za diamond za album ya kamwambie, nyimbo za mirror n.k
Nahreel pia ni mkali wa beats zinazofanya mziki mzuri anakaribiana na luffa kwa kiwango ni maarufu zaidi kuliko luffa...sikiliza Nobody ya vanessa mdee, Nusu Nusu ya weusi, Game ya navy kenzo, don't bother weusi, Safari ya weusi.
Ukiskiliza hizo productions utapata kuelewa beats zina nguvu kiasi gani katika kuifanya nyimbo idumu katika ubora wake hata baada ya kuchuja kwenye top charts za redioni/tv stations. Na hapo ndipo hasa wabongo tunapokoseaga