Wakati mnabahatisha ushindi na Kabwili wenu mbona mlikuwa hamyasemi haya? Tulieni dawa iwaingie. Kipindi cha Jua hiki na baiskeli ya barafu inayayuka.Ni ukweli uliowazi, kocha Mwinyi Zahera na uongozi wa Yanga kwa ujumla wamechemka. Kakolanya alikua ni golikipa namba moja wa Yanga na pia namba mbili kwa upande wa timu ya Taifa.
Kwa mashabiki wa Yanga hakuna asiyefahamu ya kuwa pengo la Kakolanya halijazibwa hadi wakati huu timu inapokubali kufungwa magoli ambayo kimsingi kama angekuwepo golikipa mzoefu, angeweza hata kuwapanga vizuri mabeki wake. Ramadhani Kabwili ni golikipa mzuri lakini bado anahitaji kukua na kujifunza zaidi. Kindoki na yule mwenzake wa soka la ufukweni, tunafahamu uwezo wao.
Inakatisha tamaa kwa kiasi kikubwa.
Wakati mnabahatisha ushindi na Kabwili wenu mbona mlikuwa hamyasemi haya? Tulieni dawa iwaingie. Kipindi cha Jua hiki na baiskeli ya barafu inayayuka.
Yanga hakuna shabìki mbumbumbu kama wewe bakini huko huko underdog wakubwa nyieMimi ni shabiki wa Yanga. Ila kwa aina hii ya timu, bora tu mikia fc mtetee ubingwa wenu ili msimu ujao labda tutajipanga.
Yanga mbele daima nyuma mwiko. Suala la Kakolanya liliishafungwa sasa hivi tunacheza mpira.Ni ukweli uliowazi, kocha Mwinyi Zahera na uongozi wa Yanga kwa ujumla wamechemka. Kakolanya alikua ni golikipa namba moja wa Yanga na pia namba mbili kwa upande wa timu ya Taifa.
Kwa mashabiki wa Yanga hakuna asiyefahamu ya kuwa pengo la Kakolanya halijazibwa hadi wakati huu timu inapokubali kufungwa magoli ambayo kimsingi kama angekuwepo golikipa mzoefu, angeweza hata kuwapanga vizuri mabeki wake. Ramadhani Kabwili ni golikipa mzuri lakini bado anahitaji kukua na kujifunza zaidi. Kindoki na yule mwenzake wa soka la ufukweni, tunafahamu uwezo wao.
Inakatisha tamaa kwa kiasi kikubwa.
Wewe si shabiki wa Yanga bali wa Mbumbumbu FCMimi ni shabiki wa Yanga. Ila kwa aina hii ya timu, bora tu mikia fc mtetee ubingwa wenu ili msimu ujao labda tutajipanga.
Mimi ni shabiki wa Yanga. Ila kwa aina hii ya timu, bora tu mikia fc mtetee ubingwa wenu ili msimu ujao labda tutajipanga.
Kushinda mechi ndio muhimu, hata kama mliowafunga watapata la/ya kufutia machozi. Simba wamefungwa goli tano kwa moja ndani ya mechi mbili za Al Ahly na mafurahia wala hamumlaumu kipa wenu. Iweje umlaumu kipa wa Yanga iliyofunga mabao manne kwa moja ndani ya mechi mbili za Mbao? Unamaanisha kwamba golini angekuwako Kakolanya, Simba msingefungwa na Mbao lile 1 - 0 pale Kirumba? Au msingetolewa mashindano ya FA na Mashujaa? Au msingefungwa zile 10 mfululizo ndani ya mechi mbili mfululizo? Hii yako ni ajabu ya karne! Hivi shamba linapon’golewa magugu na likaendelea kutoa mazao, ni sahihi kulaumu hiyo palizi au aliyelipalilia? Si ndio umb....... wenyewe huo?Ni ukweli uliowazi, kocha Mwinyi Zahera na uongozi wa Yanga kwa ujumla wamechemka. Kakolanya alikua ni golikipa namba moja wa Yanga na pia namba mbili kwa upande wa timu ya Taifa.
Kwa mashabiki wa Yanga hakuna asiyefahamu ya kuwa pengo la Kakolanya halijazibwa hadi wakati huu timu inapokubali kufungwa magoli ambayo kimsingi kama angekuwepo golikipa mzoefu, angeweza hata kuwapanga vizuri mabeki wake. Ramadhani Kabwili ni golikipa mzuri lakini bado anahitaji kukua na kujifunza zaidi. Kindoki na yule mwenzake wa soka la ufukweni, tunafahamu uwezo wao.
Inakatisha tamaa kwa kiasi kikubwa.