Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Ni ukweli uliowazi, kocha Mwinyi Zahera na uongozi wa Yanga kwa ujumla wamechemka. Kakolanya alikua ni golikipa namba moja wa Yanga na pia namba mbili kwa upande wa timu ya Taifa.
Kwa mashabiki wa Yanga hakuna asiyefahamu ya kuwa pengo la Kakolanya halijazibwa hadi wakati huu timu inapokubali kufungwa magoli ambayo kimsingi kama angekuwepo golikipa mzoefu, angeweza hata kuwapanga vizuri mabeki wake. Ramadhani Kabwili ni golikipa mzuri lakini bado anahitaji kukua na kujifunza zaidi. Kindoki na yule mwenzake wa soka la ufukweni, tunafahamu uwezo wao.
Inakatisha tamaa kwa kiasi kikubwa.
Kwa mashabiki wa Yanga hakuna asiyefahamu ya kuwa pengo la Kakolanya halijazibwa hadi wakati huu timu inapokubali kufungwa magoli ambayo kimsingi kama angekuwepo golikipa mzoefu, angeweza hata kuwapanga vizuri mabeki wake. Ramadhani Kabwili ni golikipa mzuri lakini bado anahitaji kukua na kujifunza zaidi. Kindoki na yule mwenzake wa soka la ufukweni, tunafahamu uwezo wao.
Inakatisha tamaa kwa kiasi kikubwa.