RIC WA KISHETI
Member
- Jun 30, 2015
- 38
- 14
The late Tomy Mboya alikuwa ni muumini mkubwa wa ujamaa ambaye alitamani kuiona Kenya ikiwa socialist country hata hivyo mpaka anaivuta pumzi yake ya mwisho ndoto yake haikutimia.
Siku za hivi karibuni kumekuwa na maandamano makubwa ya wasanii wa Kenya wakiilazimisha Serikali kutunga sera ambayo itawapa fursa zaidi wasanii wa kenya kupata airtime kuliko wasanii kutoka mataifa mengine!
HAKIKA HIZO NI FIKRA ZA KIJAMAA KATIKA ULIMWENGU WA KIBEPARI.Muziki mzuri hauhitaji sera ya Serikali ili kukubalika,lakini pia hata hiyo sera sio suluhisho sahihi kwani maendeleo ya science&technology yanawapa uhuru wakenya kupata muziki mzuri kuna Itune,mziiki,mdundo,Youtube.
Ruksa kutoa hoja
Siku za hivi karibuni kumekuwa na maandamano makubwa ya wasanii wa Kenya wakiilazimisha Serikali kutunga sera ambayo itawapa fursa zaidi wasanii wa kenya kupata airtime kuliko wasanii kutoka mataifa mengine!
HAKIKA HIZO NI FIKRA ZA KIJAMAA KATIKA ULIMWENGU WA KIBEPARI.Muziki mzuri hauhitaji sera ya Serikali ili kukubalika,lakini pia hata hiyo sera sio suluhisho sahihi kwani maendeleo ya science&technology yanawapa uhuru wakenya kupata muziki mzuri kuna Itune,mziiki,mdundo,Youtube.
Ruksa kutoa hoja