1. Mkuu Mzindakaya, hakuwahi kumtibu malecela wala mkewe, marehemu mke wa malecela alikuwa anaumwa ugonjwa ambao madakitari bingwa toka Japan alikowkenda kutibiwa kwanza walimuambia kuwa unahitaji kuishi mahali penye hali ya hewa inayofanana na ile ya Japan, alipokwenda kutibiwa kwa muda mrefu, wataalumu wa Muhimbili walipofahamishwa walsema kuwa ni Kigoma nidpo panafaaa, wakati huo malecela akiwa waziri mkuu, ndio ikaamuliwa na serikali kuwa apelekwe Kigoma kwenye Ikulu, ambako kama umewahi kufika ni mahali pa kubwa sana na nyumba nyingi za wageni wa RC, ndio mama akapewa moja wapo akihudumiwa na serikali, na sio Mzindakaya, ambapo kwanza aliyekuwepo pale RC alikuwa ni Liundi ndio baadaye Mzindakaya akaja kuwa RC, kwa hiyo mkuu ni vyema tukawa wakweli na hizi habari tunzohabarishana hapa JF, ili tusipotoshane,
2. Again, malecela hajawahi hata kulazwa Hospitlaini katika maisha yake, hata siku moja ya maisha yake hajawahi kulazwa Hospitali kwa ugonjwa, wowote ule, sasa Mzindakaya, aliwahi kumtibu nini hasa kama sio uongo mkuu? Wewe unamfahamu malecela, anyekunywa vitamins toka akiwa mdogo mpaka leo na ndio maana hatumii miwani kusoma mpaka leo, wewe unasema eti ailitibiwa na Mzindakaya? Huna aibu mkuu kuzusha uongo namna hii?
3. Mzindakaya, ukweli ni kwamba originally, alikopa hela hizo shillingi billioni 7, kutoka Standard bank na sio BOT, by then yeye na mkapa walikuwa paka na panya, hata kikako kimoja ambacho wabunge waligoma kuidhinisha kuuzwa kwa NMB bank, kwa sababu walijua kuwa Sumaye na Idd Simba wanataka kuinywa, sumaye alipoona wabunge wamegoma akamuita mkapa na kumchongea Mzaindakaya kuwa ndiye chanzi cha ukorofi wa wabunge wa CCM, mkapa alimtukana sana kama mtoto mdogo siku hiyo,
Mzindakaya baadaye alishindwa kulipa deni la Standard hata hela za kwanza tu halkulipa ndio wazungu walipoanza kumjia juu kuwa alipe, Mzindakaya akaenda kwa Balali, ambaye kwa kupewa okay na mkapa, BOT wakalinunua lile deni kutoka Standard Bank, deni ambalo mpaka leo according to the dataz Mzindakaya hajalilipa hata senti moja kwa BOT, na ndipo kwa mara ya kwanza wakawa washikaji na mkapa, mpaka mkapa akamtembelea Ranchi ya Mzindakaya kule Sumbawanga, na ndipo kwa mara ya kwanza mkuu akajiunga na mtandao, maana alijua kuwa kuna mpango mzito uliokuwa unaendeshwa na kimiti kumtoa ubunge, since then amekuwa kibaraka wa Lowassa, na sasa ndio amejitangaza rasmi!
Samahani wakuu nilitaka tuu kuweka ukweli unapotakiwa, unajua sio vyema kupotoshana maana huu uwnaja ni mkubwa sana.
Ahsante Wakuu!