Mr.creative
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 492
- 117
Mzinzi ni yule anaemega au kumegwa nje ya ndoa takatifu...
kama hujaoa na una du wewe ni nani?
Mtu alieoa au kuolewa afu anafanya kazi za nje huyo ndo mzinzi, ila kama hajaoa wala kuolewa huyo ni muasherati
evelyn salt! umeigeuza. Kinyume ni sahihi!
kama hujaoa na una du wewe ni nani?
evelyn salt ni mwasherati. mia
kweli? basi naomba nikuoe. ni bahati iliyoje?. evelyn salt naomba unipm nikupe siri ya urembo. nipm sasa hivi. miaNdo maana ake, si sijaolewa..... !!! mia
Tupia kete zako hapa hapa, mia!kweli? basi naomba nikuoe. ni bahati iliyoje?. evelyn salt naomba unipm nikupe siri ya urembo. nipm sasa hivi. mia
Teh teh teh!swali juu ya swali!kwa nini na wewe hujajibu swali lake la msingi?[Tuone kama kutamaliza dozi]We unadhani mzinzi ni nani?
Malaya tu!kama hujaoa na una du wewe ni nani?
Tupia kete zako hapa hapa, mia!
Siyo kweli kafiri ni non muslims.Hau unataka kutuaminisha hakuna waislamu waofanya uzinzi na uasherati?Kafiri:cheer2:
Teh teh teh!unataka akutongoze hadharani?Tupia kete zako hapa hapa, mia!
sio kete ni siri. tatizo lenu kila kitu mnafikiri ni masihara. nipm fasta bana. mia