Mzinzi ni nani?

Siyo kweli kafiri ni non muslims.Hau unataka kutuaminisha hakuna waislamu waofanya uzinzi na uasherati?

Usiikurubie zinaa hayo ni maneno ya kwenye kitabu kitukufu cha Waislam, kama umeenda nayo against, basi wewe umeukiuka uislam na ni kafir
 
Usiikurubie zinaa hayo ni maneno ya kwenye kitabu kitukufu cha Waislam, kama umeenda nayo against, basi wewe umeukiuka uislam na ni kafir
Je ni dini gani unayozani inasisitiza waumini wake wafanye uzinzi na uasherati?
 
Fornicator (muasherati) v Adulterer (mzinzi/mzinifu)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…