Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aende akavute mpunga,abaki Yanga Ili awe maskini au?Kuna habari zimetoka kuwa Azam wameweka million 400 mezani kwa Yanga wakitaka kumsajili Mzize.
Azam ni kichakani yaani sio mjini kwenye soka kwa maana Mzize hataonekana sana huko Ulimwenguni
Namshauri asalie Yanga ili aandae baadae yake nzuri kisoka maana akicheza Yanga team kubwa zitamuona ila akifata tamaa ya muda mfupi ataishia kucheza na Namungo
Au labda zitakuwa propaganda za kututoa kwenye mawazo ya derby ili tujikite kumwaza azam na Mzize
Nje ya yale Mahaba na maudhi yako ya utani😁, nilishaku spot kuwa una akili kubwa ingawa hiyo pia huwa unafanya jitihada za kuificha.Ni kweli...mara nyingine it's not always about money...ni vile unakua kwenye timu ambayo unapata exposure na kujulikana zaidi na kushiriki zaidi michuano mbalimbali...baadae unaweza lamba dili kubwa zaidi..hapa Tanzania uchawi na figusu figisu nyingi unaweza kupotea kabisa...
Mwambieni kijana atulie...
Kwa kiwango cha mzize, me namshauri achukue hio hela, ni nyingi sana kwake. Anaweza asiipate tena akileta mchezo.Ni kweli...mara nyingine it's not always about money...ni vile unakua kwenye timu ambayo unapata exposure na kujulikana zaidi na kushiriki zaidi michuano mbalimbali...baadae unaweza lamba dili kubwa zaidi..hapa Tanzania uchawi na figusu figisu nyingi unaweza kupotea kabisa...
Mwambieni kijana atulie...
Exposure anayopata akiwa Yanga ni zaidi ya huo mshahara!Kwani hao Uto wanamlipa Mzize $ngapi kwa mwezi?
Mkuu unauliza kinyeo cha ng'ombe huku umeshikilia nkia wake?Dube na Mzize nani atalamba dume.
hawezi kwendaKuna habari zimetoka kuwa Azam wameweka million 400 mezani kwa Yanga wakitaka kumsajili Mzize.
Azam ni kichakani yaani sio mjini kwenye soka kwa maana Mzize hataonekana sana huko Ulimwenguni
Namshauri asalie Yanga ili aandae baadae yake nzuri kisoka maana akicheza Yanga team kubwa zitamuona ila akifata tamaa ya muda mfupi ataishia kucheza na Namungo
Au labda zitakuwa propaganda za kututoa kwenye mawazo ya derby ili tujikite kumwaza azam na Mzize
Kwa mchezaji wa kitanzania, Yanga na Simba ndio dili la juu la mwisho la kulamba, hakuna kusonga mbele zaidi. Kwanini? Simba na Yanga hazina maono yoyote ya kumfanya mchezaji asonge mbele. Hali ni tofauti kabisa kwa Azam ambapo ni rahisi mnoo mchezaji kusonga mbele zaidi kwa kuwa wana huo utaratibu tena rasmi kabisa.Ni kweli...mara nyingine it's not always about money...ni vile unakua kwenye timu ambayo unapata exposure na kujulikana zaidi na kushiriki zaidi michuano mbalimbali...baadae unaweza lamba dili kubwa zaidi..hapa Tanzania uchawi na figusu figisu nyingi unaweza kupotea kabisa...
Mwambieni kijana atulie...
Halafu hiyo exposure itamsaidia nini ikiwa Yanga hawana mpango wowote wa kumpeleka mbele zaidi ya Yanga?Exposure anayopata akiwa Yanga ni zaidi ya huo mshahara!
Ulisikia kutoka kwa nani? Unafikri anavyoonekana kimataifa ataishia Yanga? Yaani unataka aende Azam aishie Chamazi?Halafu hiyo exposure itamsaidia nini ikiwa Yanga hawana mpango wowote wa kumpeleka mbele zaidi ya Yanga?