Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Pole kwa usumbufu pia kwa wanajamii yeyote anaejua anaweza kuchangiaa hapaa.
Nimekua nikinywa maji ya moto yaliyochanganywa na limao nakunywa glas tatu jioni napotaka kulala na asubuhi kila nikiamka kabla sijanywa chai!
Sasa nikiyanywaa tumbo linanivurugaa sanaa mpaka nakua najisikiaa vibayaa mno sasa najiuliza ninakosea kuyanywa au nazidisha nakunywa mengi mno maana kuna mtu aliniambia niwe nakunywa glasi nne ili kupunguza mafuta mwilin,nimeshindwaa nakomea kunywa glas tatu tu.
Pia uniambie nichanganye na nini kingine ili nipunguze mafuta mwilinii maana huu unene unaokuja sio kabisaaa tutakimbiwaaa kama huna ushauri pitilizaa kabisa!
MziziMkavu
Nimekua nikinywa maji ya moto yaliyochanganywa na limao nakunywa glas tatu jioni napotaka kulala na asubuhi kila nikiamka kabla sijanywa chai!
Sasa nikiyanywaa tumbo linanivurugaa sanaa mpaka nakua najisikiaa vibayaa mno sasa najiuliza ninakosea kuyanywa au nazidisha nakunywa mengi mno maana kuna mtu aliniambia niwe nakunywa glasi nne ili kupunguza mafuta mwilin,nimeshindwaa nakomea kunywa glas tatu tu.
Pia uniambie nichanganye na nini kingine ili nipunguze mafuta mwilinii maana huu unene unaokuja sio kabisaaa tutakimbiwaaa kama huna ushauri pitilizaa kabisa!
MziziMkavu