Mzizimkavu njoo

Mzizimkavu njoo

Bibie Umekosea kitu kimoja kuongeza na Asali jaribu kuwa ukinywa hayo maji

glasi 3 kabla ya kula kitu utie na Asali Safi ya nyuki isiyochakachuliwa kijiko kimoja kikubwa utie

hiyo Asali kila unapo kunywa hayo maji ya uvuguvugu asubuhi na jioni fanya hivyo tumbo lako

halitachafuka usinywe maji na limau peke yake weka na asali lakini Asali iwe ya ukweli sio Asali

feki hongera kwa kufanya hivyo.

Finally!!!
 
ASALI LIMAO NA MAJI YA UVUGUVUGU KUNYWA ASUBUHI HUSAIDIA KUPUNGUZA UZITO


Asali na limao vinasaidia kupunguza mwili/uzito
Uzito mkubwa wa mwili hupelekea kupata magonjwa mbali mbali kama ya moyo,

kisukari, high blood pressure, arthritis,ini n.k
Asali ni nzuri sana kwani unaweza kuitengeneza mwenyewe nyumbani.Inasaidia kupunguza

obesity,cholesterol levels.Kila siku asubuhi unaweza kunywa glasi ya maji ya uvuguvugu ukiwa umeweka vijiko viwili vya asali na vijiko viwili vya chai vya maji ya limao.Unakoroga vizuri unakunywa.Pia unaweza kunywa mchanganyiko huu kama umetoka kula chakula cha mafuta mafuta.Kumbuka pia ni muhimu kufanya mazoezi kwa afya,kuacha kula vyakula vya mafuta,sukari n.k

UKITAKA DAWA YA KUPUNGUZA UNENE KWA NJIA YA HARAKA DAWA NINAYO INAITWA KWA JINA HILI (FITOFORM

+PLUS) UKIHITAJI NITUMIE BARUWA YA PEPE EMAIL YANGU ADDRESS HII HAPA
fewgoodman@hotmail.com AU PIA


WAWEZA KUTEMBELEA THREAD YANGU BONYEZA HAPA https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/345085-good-news-kwa-wale-wenye-kutaka-kupunguza-uzito-wa-mwili-na-unene-na-mafuta-mwilini.html


attachment.php
 
Mimi NIMEACHA KUNYWA MAJI YA BARIDI/yaliyopoa nina mwaka wa pili sasa nakunywa maji ya uvuguvugu muda wote na naweka hiliki, mdalasini, pilipili manga kidooooogo(kama una ulcers usiweke hii),haba soda,tangawizi, kisha nachemsha mchanganyiko huo.yaani nmezoea kiasi ambacho nikijarbu kuonja maji ya kawaida nayaona mabaya, mbali na kusaidia kupunguza unene ila ni dawa asilia ya maradhi mengi sana.jaribu hii, pia ukipata mtu anaekwenda china muagizie chai ya kichina, ni majani fulani huwa wachina wanaweka kwenye maji yanakata unene sana na hayana madhara, jina lake limentoka nkikumbuka ntakwambia.
 
Jaman nashukuru kwa wote mliotoa ushauriii shukran sanaaa
 
Duh kwa maushauri ya humu ukiyafuata usipokua modo wewe basi tena
 
Acha basii mazoezi sasa ni kipajii hebu nitajie rahis rahis nianze kufanyaaa miee nataka niwe modo

kama unaweza uwe unakuja UWANJA WA TAIFA uwanja wa mchanga,asubuhi sana.....week moja utakuwa supa modo......utafanya mazoezi yanayoendana na mwili wako na kwa uraisi zaidi....
 
Pole kwa usumbufu pia kwa wanajamii yeyote anaejua anaweza kuchangiaa hapaa.

Nimekua nikinywa maji ya moto yaliyochanganywa na limao nakunywa glas tatu jioni napotaka kulala na asubuhi kila nikiamka kabla sijanywa chai!

Sasa nikiyanywaa tumbo linanivurugaa sanaa mpaka nakua najisikiaa vibayaa mno sasa najiuliza ninakosea kuyanywa au nazidisha nakunywa mengi mno maana kuna mtu aliniambia niwe nakunywa glasi nne ili kupunguza mafuta mwilin,nimeshindwaa nakomea kunywa glas tatu tu.

Pia uniambie nichanganye na nini kingine ili nipunguze mafuta mwilinii maana huu unene unaokuja sio kabisaaa tutakimbiwaaa kama huna ushauri pitilizaa kabisa!
MziziMkavu

WomensHealth - How To Lose 13 kilograms of Stomach Fat in Just 6 Weeks With These 2 Simple Tips
 
Hayo malimao si yanachuna tumbo hayo? Yani km una tumbo bovu bora usitumie vitu vya acid.
 
Back
Top Bottom