Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,134
Bibie Umekosea kitu kimoja kuongeza na Asali jaribu kuwa ukinywa hayo maji
glasi 3 kabla ya kula kitu utie na Asali Safi ya nyuki isiyochakachuliwa kijiko kimoja kikubwa utie
hiyo Asali kila unapo kunywa hayo maji ya uvuguvugu asubuhi na jioni fanya hivyo tumbo lako
halitachafuka usinywe maji na limau peke yake weka na asali lakini Asali iwe ya ukweli sio Asali
feki hongera kwa kufanya hivyo.
Finally!!!
