"Mzoea vya kunyonga vya kuchinja Haviwezi". Hongera Halima Mdee na Makamanda wote kwa kugomea wito wa kienyejienyeji

Achana na huyu mzee asikuwa na akili
 
Sijawahi kuona mwandishi wa habari asiye na akili kama huyu mzee, hovyo kabisa. Mkuu bado tuna safari ndefu sn
 
Kwanza nikukaribishe nyumbani Tanzania, inaelekea mwenzetu umeishi miaka mingi ughaibuni. Lissu kabla ya kushambuliwa aliwahi kutoa taarifa nyingi polisi kuhusu watu wanaomfuatilia ikiwa ni pamoja kutoa namba za magari wanayotumia, hata hivyo jeshi la polisi lilikataa kuchukua hatua kama lilivyofanya baada ya kushambuliwa! Kichekesho cha karne ni pale jeshi la polisi lilipodai haliwezi kufanya uchunguzi wa Lissu alivyoshambuliwa mpaka aende polisi kufungua kesi! Ni waziri polisi huenda walikuwa wanajua mpango mzima ndiyo sababu walikataa.
 
unataka teuzi kaka, na hupati unahisi msukuma mwenzako atakupa, kama chadema imewateua kwanini waogope kuitwa, Kilangi anasema wako kihalali akimaanisha chadema wenyewe ndio waliteuliwa, akina halima wangeenda ila kwa taarifa yako hao TISS ndio waliowazuia na kuwalinda, wacha tuone hatima yake lakini nakwambia wallah, wabillah, taallah, teuzi hupati ng'o kwa kusifia sifia mambo ya kijinga jinga, si mnasema wapinzani ndio wanachelewesha maendeleo, leo ndio mnawalinda, maskini akina dada wa watu wamekuwa waoga hata nyuso zao zinawasuta kwa waliyofanya
 
Huyu mpuuzi anataka kuwa balozi na yeye
 
Heading imekaa kimahabahaba kwelikweli,
Naona pascal unajitahidi kusaka uteuzi.Jitahidi riziki ya mbwa iko miguuni
 
Angekufa wasingefanya uchunguzi?
 
paskalina we hunahaja ya kuteseka na chadema hao akina mdee ni suala la muda tu chadema ni chama makini sana tofauti na sisiem ambao hata hawajui pa kuanzia pale bungeni bila chadema
 
Na hapa ndio utagundua Paskali za kichwani hana ni mganga njaa tu.
 
watamcheleweshea raisi wetu mpendwa kutuleta maendeleo hatuwataki waendo bungeni kuukwamisha maendeleo
 
Mbowe mjanja sana kawaambia msije ili tuendelee kubuy time.

Sasa kama chadema wa mitandaoni mna uchungu sana anadamaneni sasa kudai maboresho kwenye chama lenu mfu hilo.
Mbowe ana mapungufu yake LAKINI si vema kila kitu ambacho CHAMA TAWALA inakipanga au kukiendesha ili kumuhujumu CHADEMA LAWAMA ABEBESHWE FREEMAN.. MSITUAMINISHE KWAMBA MBOWE NI MBAYA KIIVO.
 
Yani ya ndani ya Chadema unayajua au unayajua yale wanayotaka uyajue?
Hahahahaha wabongo mna laana ya unafiki
 
Unaweza kuonyesha maandishi kuwa Mbowe ametoa baraka ? Au ndio propaganda uchwara za Lumumba . Baraka za mwenyekiti zinatolewa kwa mdomo ? Sio maandishi ?
 
Kada wa kijani kibichi CCM , anadadavua katiba ya Chadema ? Mbona hutaji vifungu ? Au njaa imekuzidi tumboni imepanda kichwani , unamsaidia Polepole in Lipumba's voice .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…