"Mzoea vya kunyonga vya kuchinja Haviwezi". Hongera Halima Mdee na Makamanda wote kwa kugomea wito wa kienyejienyeji

"Mzoea vya kunyonga vya kuchinja Haviwezi". Hongera Halima Mdee na Makamanda wote kwa kugomea wito wa kienyejienyeji

Ebu Paschal Mayala kama una idea kidogo na sheria zungumzia na hili la Spika kuwaapishia Wabunge Garage !
Kama AG mwanaccm kashindwa kutambua tafsiri hiyo unadhani mbabaishaji Pascal Mayalla ndio atakujibu kwa usahihi?
Pascal alikuwa zamani na sio huyu wa sasa ambaye hashirikishi ubongo kufikiri Bali anashirikisha rangi ya kijani kupata majibu.
 
Huu ni msemo wa Kiswahili kuwa "Mzoea vya kunyonga, vya kuchinja haviwezi"! Chadema ilizoea kuwanyonga wanachama wake kwa kuwafukuza kienyeji enyeji na kujinga jinga, nimeisoma taarifa hii kwa faraja.

Halima Mdee ni mwanamke shujaa, msomi na mwanasheria, anaijua katiba ya Chadema, na vikao vya mamlaka ya nidhamu ni kama ifuatavyo.
  • Kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, ili kumvua mtu uanachama kuna mlolongo wa kanuni na taratibu za kufuatwa na miongoni mwake ni hizi nitakazo ziorodhesha hapa chini, jee zilifuatwa?
  • Kuandaa Hati ya Mashtaka kwa maandishi yenye tuhuma zote ambazo mtuhumiwa anakabiliwa nazo. Jee hati hizi za mashitaka kimaandishi ziliandaliwa?
  • Hati hiyo ya mashitaki kimaandishi inatakiwa ikabidhiwa kwa mtuhumiwa kwa "despatch" ili kuthibitisha imemfikia. Je, hili lilifanyika? Nimesikia kuna watu waliitwa kwa simu, je huu ndio utaratibu kwa jambo zito kama hili?
  • Mtuhumiwa atatakiwa kuzijibu tuhuma za mashitaka hayo ndani ya kipindi cha siku 14 tangu tarehe aliyopokea barua ile ili apate muda wa kutosha kutafakari, je hili litafanyika?
  • Baada ya majibu ya hati ile ya mashitaka kurejeshwa, ndipo mamlaka ya nidhamu ingepaswa kuitisha kikao rasmi kwa mujibu wa katiba na kumwalika mtuhumiwa kwa barua ili kuwapa nafasi ya kujieleza na kumsikiliza kabla ya kufikia maamuzi!. Jee this time Chadema itafuata taratibu?
Halima na genge lake they are very right, Chadema ilizoea kufanya mambo kienyeji, leo imekutana na kisiki cha mpingo!
Chadema sasa lazima ijifunze kufanya mambo kwa kufuata katiba yake, sheria, taratibu na kanuni!, kufanya mambo kwa kienyeji enyeji kwa mtindo wa zimamoto, sasa basi!

Hongera sana Kamanda Mhe. Halima Mdee na makamanda makomandoo wa kike kwa kuifunza nidhamu chama chenu cha Chadema.

Paskali
Update:
Mkuu mode, bila kuingilia uhuru na mamlaka ya mode ku edit bandiko lolote na heading yoyote, ila heading inapotumia tamathali za semi, methali au nahau, neno hilo linapaswa kuwa vile vile lilivyo!. Mode hapaswi kulibadili!. Nimetumia neno
"Mzoea vya kunyonga, vya kuchinja haviwezi", hivi ndivyo neno rasmi lilivyo, ni tofauti na neno "

"Mmezoea vya kunyonga hamviwezi vya kuchinja"​

P
hivi ingekuwa wamama wa UWT ndio wamefanya hivyo ingekuwaje PASCHAL? nawaza tu nikitumia reference ya sophia
 
Huu ni msemo wa Kiswahili kuwa "Mzoea vya kunyonga, vya kuchinja haviwezi"! Chadema ilizoea kuwanyonga wanachama wake kwa kuwafukuza kienyeji enyeji na kujinga jinga, nimeisoma taarifa hii kwa faraja.

Halima Mdee ni mwanamke shujaa, msomi na mwanasheria, anaijua katiba ya Chadema, na vikao vya mamlaka ya nidhamu ni kama ifuatavyo.
  • Kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, ili kumvua mtu uanachama kuna mlolongo wa kanuni na taratibu za kufuatwa na miongoni mwake ni hizi nitakazo ziorodhesha hapa chini, jee zilifuatwa?
  • Kuandaa Hati ya Mashtaka kwa maandishi yenye tuhuma zote ambazo mtuhumiwa anakabiliwa nazo. Jee hati hizi za mashitaka kimaandishi ziliandaliwa?
  • Hati hiyo ya mashitaki kimaandishi inatakiwa ikabidhiwa kwa mtuhumiwa kwa "despatch" ili kuthibitisha imemfikia. Je, hili lilifanyika? Nimesikia kuna watu waliitwa kwa simu, je huu ndio utaratibu kwa jambo zito kama hili?
  • Mtuhumiwa atatakiwa kuzijibu tuhuma za mashitaka hayo ndani ya kipindi cha siku 14 tangu tarehe aliyopokea barua ile ili apate muda wa kutosha kutafakari, je hili litafanyika?
  • Baada ya majibu ya hati ile ya mashitaka kurejeshwa, ndipo mamlaka ya nidhamu ingepaswa kuitisha kikao rasmi kwa mujibu wa katiba na kumwalika mtuhumiwa kwa barua ili kuwapa nafasi ya kujieleza na kumsikiliza kabla ya kufikia maamuzi!. Jee this time Chadema itafuata taratibu?
Halima na genge lake they are very right, Chadema ilizoea kufanya mambo kienyeji, leo imekutana na kisiki cha mpingo!
Chadema sasa lazima ijifunze kufanya mambo kwa kufuata katiba yake, sheria, taratibu na kanuni!, kufanya mambo kwa kienyeji enyeji kwa mtindo wa zimamoto, sasa basi!

Hongera sana Kamanda Mhe. Halima Mdee na makamanda makomandoo wa kike kwa kuifunza nidhamu chama chenu cha Chadema.

Paskali
Update:
Mkuu mode, bila kuingilia uhuru na mamlaka ya mode ku edit bandiko lolote na heading yoyote, ila heading inapotumia tamathali za semi, methali au nahau, neno hilo linapaswa kuwa vile vile lilivyo!. Mode hapaswi kulibadili!. Nimetumia neno
"Mzoea vya kunyonga, vya kuchinja haviwezi", hivi ndivyo neno rasmi lilivyo, ni tofauti na neno "

"Mmezoea vya kunyonga hamviwezi vya kuchinja"​

P
Aaaà, yote hayo ni mbwembwe tu,
The million dollar question/issue ni kwamba chama hakikuteua majina,hakikupereka majina NEC,sasa hao covid 19,wamefikaje bungeni?tuanzie hapo,Let's address the elephant in the room,tusikwepe issue kubwa na kujificha kwenye Sheria,NEC waje waeleze majina walipewa na nani?wakati walikili Chadema haijapereka majina?!
Na hapa I smell rat,mahaba ya Ccm na Halima na genge lake yanatoka wapi?
Yule Dada Nusrat henje,alitokaje gerezani,kesi ilifutwa vipi na mahakama ipi?ccm bwana akili ndogo,waiiiba weeee,wakasahau kuacha kidogo,sasa hv,wanatapatapa tu,
Harafu huyu Ester Matiko,alizalilishwa na polisi mpaka kushikwa makalio,leo hii ........
 
Huu ni msemo wa Kiswahili kuwa "Mzoea vya kunyonga, vya kuchinja haviwezi"! Chadema ilizoea kuwanyonga wanachama wake kwa kuwafukuza kienyeji enyeji na kujinga jinga, nimeisoma taarifa hii kwa faraja.

Halima Mdee ni mwanamke shujaa, msomi na mwanasheria, anaijua katiba ya Chadema, na vikao vya mamlaka ya nidhamu ni kama ifuatavyo.
  • Kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, ili kumvua mtu uanachama kuna mlolongo wa kanuni na taratibu za kufuatwa na miongoni mwake ni hizi nitakazo ziorodhesha hapa chini, jee zilifuatwa?
  • Kuandaa Hati ya Mashtaka kwa maandishi yenye tuhuma zote ambazo mtuhumiwa anakabiliwa nazo. Jee hati hizi za mashitaka kimaandishi ziliandaliwa?
  • Hati hiyo ya mashitaki kimaandishi inatakiwa ikabidhiwa kwa mtuhumiwa kwa "despatch" ili kuthibitisha imemfikia. Je, hili lilifanyika? Nimesikia kuna watu waliitwa kwa simu, je huu ndio utaratibu kwa jambo zito kama hili?
  • Mtuhumiwa atatakiwa kuzijibu tuhuma za mashitaka hayo ndani ya kipindi cha siku 14 tangu tarehe aliyopokea barua ile ili apate muda wa kutosha kutafakari, je hili litafanyika?
  • Baada ya majibu ya hati ile ya mashitaka kurejeshwa, ndipo mamlaka ya nidhamu ingepaswa kuitisha kikao rasmi kwa mujibu wa katiba na kumwalika mtuhumiwa kwa barua ili kuwapa nafasi ya kujieleza na kumsikiliza kabla ya kufikia maamuzi!. Jee this time Chadema itafuata taratibu?
Halima na genge lake they are very right, Chadema ilizoea kufanya mambo kienyeji, leo imekutana na kisiki cha mpingo!
Chadema sasa lazima ijifunze kufanya mambo kwa kufuata katiba yake, sheria, taratibu na kanuni!, kufanya mambo kwa kienyeji enyeji kwa mtindo wa zimamoto, sasa basi!

Hongera sana Kamanda Mhe. Halima Mdee na makamanda makomandoo wa kike kwa kuifunza nidhamu chama chenu cha Chadema.

Paskali
Update:
Mkuu mode, bila kuingilia uhuru na mamlaka ya mode ku edit bandiko lolote na heading yoyote, ila heading inapotumia tamathali za semi, methali au nahau, neno hilo linapaswa kuwa vile vile lilivyo!. Mode hapaswi kulibadili!. Nimetumia neno
"Mzoea vya kunyonga, vya kuchinja haviwezi", hivi ndivyo neno rasmi lilivyo, ni tofauti na neno "

"Mmezoea vya kunyonga hamviwezi vya kuchinja"​

P

Chadema taarabu bend
Hawa watu wana kinacho wasumbua ndani sawa na uvimbe ndani ya tako.ni wa zuri kutaka mageuzi ila hawa taki kukubali mageuzi ndani mwao ili wawe mageuzi
 
alieinjia mpango wote wa kuharibu uchaguzi na hao viti maluun atakua kilaza sana aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3577]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Hapa hakuna akili bali tope
IMG_20200329_131831.jpg
 
Chadema taarabu bend
Hawa watu wana kinacho wasumbua ndani sawa na uvimbe ndani ya tako.ni wa zuri kutaka mageuzi ila hawa taki kukubali mageuzi ndani mwao ili wawe mageuzi
Wanaosumbuka ni wale wanaolazimisha viti maalum hata kwa kuwaapisha watu gereji na wengine kuwatoa gerezani baada ya kuwasotesha kwa kesi uchwara. Huyo dada ndio mmeona hana makosa sasa!? Mateso yake gerezani analipia nani!? Kwani polisi hawapo muwape hivyo viti kwa kazi nzuri waliyowafanyia? Hao wana mageuzi wakaribisheni kwenu wawageuze nyie.
 
Hongera sana Pascal Mayalla...unatekeleza sera kwa ustadi mkubwa!
Katika suala hili nilimuuliza Pascal maswali takribani 5 mwanzoni mwa mwezi Nov. aliomba 'time out' ilikujipanga hakuwahi kurudi licha ya kukumbushwa na tindo.

Hoja aliyonijibu Paskali ni kuwa yeye kama Raia ana uhuru wa kutoa mawazo, na kwamba ukada si kigezo cha kumpoka haki yake ya msingi. Nilikubaliana naye na kumwambia kuwa 'kuna thin line' kati ya kusimamia mawazo huru na kusimamia ukada hasa nyakati hizi ambapo u-DC unapatikana kwa mayowe.

Napenda kumkumbusha Paskali kuwa katika suala hili yeye si paskali huru, ni mtumishi na kada katika mission.
Hii ni kazi aliyopewa na anaifanya kwa juhudi ingawaje hawa mafedhuli Chadema wanatia mchanga kitumbua.

Namalizia ugali wangu a ngwoge hapa Bondei. karibuni
 
Katika suala hili nilimuuliza Pascal maswali takribani 5 mwanzoni mwa mwezi Nov. aliomba 'time out' ilikujipanga hakuwahi kurudi licha ya kukumbushwa na tindo.

Hoja aliyonijibu Paskali ni kuwa yeye kama Raia ana uhuru wa kutoa mawazo, na kwamba ukada si kigezo cha kumpoka haki yake ya msingi. Nilikubaliana naye na kumwambia kuwa 'kuna thin line' kati ya kusimamia mawazo huru na kusimamia ukada hasa nyakati hizi ambapo u-DC unapatikana kwa mayowe.

Napenda kumkumbusha Paskali kuwa katika suala hili yeye si paskali huru, ni mtumishi na kada katika mission.
Hii ni kazi aliyopewa na anaifanya kwa juhudi ingawaje hawa mafedhuli Chadema wanatia mchanga kitumbua.

Namalizia ugali wangu a ngwoge hapa Bondei. karibuni

Bora umemkumbusha maana nilisubiri kwa hamu majibu yake na nikamkumbusha juu lakini hakutokea! Na sio kwamba hakutokea kwa bahati mbaya, bali ilibidi.
 
Katika suala hili nilimuuliza Pascal maswali takribani 5 mwanzoni mwa mwezi Nov. aliomba 'time out' ilikujipanga hakuwahi kurudi licha ya kukumbushwa na tindo.

Hoja aliyonijibu Paskali ni kuwa yeye kama Raia ana uhuru wa kutoa mawazo, na kwamba ukada si kigezo cha kumpoka haki yake ya msingi. Nilikubaliana naye na kumwambia kuwa 'kuna thin line' kati ya kusimamia mawazo huru na kusimamia ukada hasa nyakati hizi ambapo u-DC unapatikana kwa mayowe.

Napenda kumkumbusha Paskali kuwa katika suala hili yeye si paskali huru, ni mtumishi na kada katika mission.
Hii ni kazi aliyopewa na anaifanya kwa juhudi ingawaje hawa mafedhuli Chadema wanatia mchanga kitumbua.

Namalizia ugali wangu a ngwoge hapa Bondei. karibuni
Pascal Mayalla, kuna wakati alijulikana humu JF kama pasco. Wazungu wana msemo, a new broom sweeps clean but an old one knows all the corners! Zama hizo! We acha tu! Laiti Kiswahili kingekuwa na msamiati mpana, ningekuwa na mengi ya kueleza.

Nguruvi3, asante kwa mwaliko huko Bondei, ukisikia hodi ujue ni Mag3 kafuata ugali na ngwoge!
 
Back
Top Bottom