Mzomeeeeni, huyoooooooooooo.

Mzomeeeeni, huyoooooooooooo.

Tonge

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2010
Posts
695
Reaction score
12
ANDREW CHENGE.JPG
 
Utamzomeaje wakati amepata ubunge na TAKUKURU hawawezi kumgusa huku akipeta na mamilioni ya rada anayoyaita vijisenti. Yeye ndiye anayetuzomea wabongo na TAKUKURU yetu inayotumia kodi zetu, anatuona Wadanganyika kweli kweli. Na kwa makusudi alijua hatapata uspika ila alikuwa analemga kumchafulia 6. Amefaulu malengo na anatesa mfululizo wala siyo kwa zamu
 
Anapiga hesabu hata hivyo hesabu zake za nguvu Bro 6 tayari bado kale ka kesi ka mauaji na kale ka vijisenti
 
Utamzomeaje wakati amepata ubunge na TAKUKURU hawawezi kumgusa huku akipeta na mamilioni ya rada anayoyaita vijisenti. Yeye ndiye anayetuzomea wabongo na TAKUKURU yetu inayotumia kodi zetu, anatuona Wadanganyika kweli kweli. Na kwa makusudi alijua hatapata uspika ila alikuwa analemga kumchafulia 6. Amefaulu malengo na anatesa mfululizo wala siyo kwa zamu

TAKUKURU sio yetu... Ni yao ndio maana wanaicontrol wanavyotaka.
 
Mjambisheni....Priiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!
 
Mutu muzima ovyooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
Mutu muzima ovyooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo

Maria na wenzako mnajipa presha. Chenge hana alichopoteza, wewe na sisi ndo tumepoteza mengi na wengi. Tusizomee tu.......
 
Chenge kashinda kwa kile alichokitaka kimetimia nadhani wa kuzomewa na kujambishwa ni Marando maana kaukosa uspika kwikwikwikwikwi yaani jamaa walijipa hope asilimia 12 wangeweza kushinda duh hii inabidi iingizwe kwenye kitabu cha rekodi ya dunia. Chako chetu chetu chetu KUB tamu sana lakini hauzidi uspika heheheheheheh
 
Chenge kashinda kwa kile alichokitaka kimetimia nadhani wa kuzomewa na kujambishwa ni Marando maana kaukosa uspika kwikwikwikwikwi yaani jamaa walijipa hope asilimia 12 wangeweza kushinda duh hii inabidi iingizwe kwenye kitabu cha rekodi ya dunia. Chako chetu chetu chetu KUB tamu sana lakini hauzidi uspika heheheheheheh

hukui? una miaka mingapi kwanza? acha uchuro teh teh nawe ni wa kujambishwa priiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! booooooooooooooooh
 
attachment.php


Tumzomee hiloooooo au huyooo au kila mtu kwa style yake
Halafu kama vile analia pamoja na vijisenti vyote alivyonavyo
 
Msimjambishe tuu inabid hiyo picha tui-edit kwa stail ya kumvua nguo halafu yuko juu ya hizo pesa anazoziita vijisenti.
 
Back
Top Bottom