Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Ni kweli. Wana miziki ya ajabu ajabu hata kwao wenyewe hawazipendi.Wakenya wanatakiwa watengeneze muziki mzuri ndio njia pekee ya kupambana na Bongo Fleva hayo mambo mengine hayasaidii kitu
Organizer ndio wa kulaumiwa na sio Diamond. Yeye hapangi ratiba.Kwamba Diamond atoke Tanzania hadi Kenya akajipangie ratiba nitaperfom kabla ya msanii fulani?
Kwanini wasidili na waandaaji?
Bora alikataa ku perform hawachelewi kumshambulia. Nasikia walikuwa wameshaanza kumthihaki Diamond mara mke wa Pdidy. Yaani wakenya wako busy kumshambulia Diamond wakati organizer ndio wanapanga ratiba na wao wanaamua nani apande na wakati gani.Wakenya wanapenda ligi
Ova
Mm syo shabiki wa mziki waoBora alikataa ku perform hawachelewi kumshambulia. Nasikia walikuwa wameshaanza kumthihaki Diamond mara mke wa Pdidy. Yaani wakenya wako busy kumshambulia Diamond wakati organizer ndio wanapanga ratiba na wao wanaamua nani apande na wakati gani.