Mzozo wa DRC: Waasi wa M23 watangaza Kusitisha Mapigano kwa 'Sababu za kibinadamu'

4G
Hii imejumuisha wale waisrael waliojificha kwenye nchi nyingine wakijifanya raia wa huko walipo kiasi wengine kupewa vyeo vikubwa kwenye nchi hizo?
Wa rwanda unawajua waliopo kwenye nchi za watu wengine
 
Jibu swali wewe na mijitu Yako 67m unaweza kushinda vita dhidi ya watu 9m wa Israel
 
Jibu swali wewe na mijitu Yako 67m unaweza kushinda vita dhidi ya watu 9m wa Israel
Kaka we unafikiria kwa kutumia kichwa kipi?

Israeli hana rasilimali watu wengi lakini katuzidi sana kwenye teknolojia, wana vifaa vya kijeshi imara na bora kutuzidi sisi.

Hao Rwanda sio Israeli na wakileta chokochoko tutapiga hadi Kigali
 
Kaka we unafikiria kwa kutumia kichwa kipi?

Israeli hana rasilimali watu wengi lakini katuzidi sana kwenye teknolojia, wana vifaa vya kijeshi imara na bora kutuzidi sisi.

Hao Rwanda sio Israeli na wakileta chokochoko tutapiga hadi Kigali
Kelele za nini kashaua askari wako nenda kapige mpaka kigali sio kuandika humu jamii forum miaka ya mikwara imeshaisha kipindi hiki ni vitendo tu sio mdomo
 
MKUUU NAANGALIA ALJAZERA NEWS

JANA KIMEWAKA MARNEO YA BUKAVU NA UN WAMELAAN SANA HII NA JNNE WAMESEMA WANALIANZISHA
 
Mkuuuu wanapigaaaa kama nyokooo
 

Attachments

  • IMG_20250206_124945_464.jpg
    415.5 KB · Views: 2
  • IMG_20250206_124938_364.jpg
    461 KB · Views: 2
  • IMG_20250206_124933_963.jpg
    482.4 KB · Views: 3
  • IMG_20250206_124926_332.jpg
    503.8 KB · Views: 3
  • IMG_20250206_124925_402.jpg
    439.7 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…