Mzozo wa DRC: Waasi wa M23 watangaza Kusitisha Mapigano kwa 'Sababu za kibinadamu'

Mzozo wa DRC: Waasi wa M23 watangaza Kusitisha Mapigano kwa 'Sababu za kibinadamu'

Fuatilia news kiongozi;
Wameamua kujitoa baada ya Rwanda kupigwa mkwara na South Africa kuwa, wasijione wababe kuua askari wake, wasipo ondoka watachakazwa kwa Long Range Ballistic Missiles hadi kigali itabaki magofu

"BREAKING: Kagame withdraws troops after SA Allegedly Threatens to Use Long Range Ballistic Missiles, Deploy Navy Seals and Commando Units
President General Kagame has issued an executive order directing all Ruwandan military forces to withdraw from all DRC border towns and regroup in the capital Kigali with immediate effect"
South yuko mbali sana nilishangaa kagame kujitutumua
 
Kuna jamaa nilimueleza juzi kuhusu jeshi la Urundi akanibishia mbaya kigezo chake Burundi hawawezi ni masikini sanaa, nikaamua nikae kimnyaaa na burundi yenyewe si unajua ni mtoto wetu pendwa?

Kilochotokea ni kwamba Bongo haina bifu la moja kwa moja na Mrefu ila mrefu ndio ana choko choko kwahiyo Bongo iliamua kumlisha Mrundi data zote,

Basi last born wetu Urundi akakiwasha na akapita na biti mule mule🤣🤣
Saaaaafi sana huyu mnyamurenge analelewa sana
 
Vipi goma hamuitaki mmewaachia m23 watambe yaani nchi zaidi ya 20 mnamchangia m23 na bado anatamba hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Si umeona mmeongeza askari,mnajua kifuatacho itv.. subirini!
 
Hahaha! Watanzania kwa kulitukuza jeshi letu hatujambo. Kama kuna taasisi serikali inapaswa kuitunza kwa wivu na ujivuni basi ni JWTZ sababu ni very professional na inapendwa na kuaminiwa mno na raia.
JWTZ na CCM ndo taasisi zilizobakia kwa kuaminiwa.
 
Fuatilia news kiongozi;
Wameamua kujitoa baada ya Rwanda kupigwa mkwara na South Africa kuwa, wasijione wababe kuua askari wake, wasipo ondoka watachakazwa kwa Long Range Ballistic Missiles hadi kigali itabaki magofu

"BREAKING: Kagame withdraws troops after SA Allegedly Threatens to Use Long Range Ballistic Missiles, Deploy Navy Seals and Commando Units
President General Kagame has issued an executive order directing all Ruwandan military forces to withdraw from all DRC border towns and regroup in the capital Kigali with immediate effect"
Mbona nimeona Rwanda wanakejeli South Afrika army kuwa ni wafupi +vibonge.
Wanawaita "Amapiano Boys"
 
Kuna jamaa nilimueleza juzi kuhusu jeshi la Urundi akanibishia mbaya kigezo chake Burundi hawawezi ni masikini sanaa, nikaamua nikae kimnyaaa na burundi yenyewe si unajua ni mtoto wetu pendwa?

Kilochotokea ni kwamba Bongo haina bifu la moja kwa moja na Mrefu ila mrefu ndio ana choko choko kwahiyo Bongo iliamua kumlisha Mrundi data zote,

Basi last born wetu Urundi akakiwasha na akapita na biti mule mule[emoji1787][emoji1787]
UONGO UONGO UONGO
 
[emoji1787] acha umbeya!!!(jus kidding )

Ni kwamba Burundi ni mtoto wetu sisi Watanganyika na hii vita hata kama ingeendelea ingeweza ku backfire kwa Burundi pia sababu kuna kundi la waasi linamsumbua Burundi hivyo m23 kuendelea kuchukua maeneo hapo congo lazima wangekutana na hilo kundi la waasi la Burundi na kuunganisha nguvu..

Na sisi watanzania hatuna bifu na Kagame ila kagame ndio huleta chokochoko kwetu. Hivyo kilichotokea, Burundi kawezeshwa na tz(kipesa na taarifa zote muhimu ) kisha akaingia kazini, unaambiwa kawachakaza m23, piga sanaaa.(hapo tz kakaa zake pembeni kama hajui kinachoendelea)

Na hawa waburundi tunawapaga sapoti mara nyingi sana, kama unakumbuka kipindi fulani prezida nkurunzinza alipokuja dar kwenye kikao, watu kule Burundi walifanya mapinduzi kwa msaada wa pk na almost walikua wameshafanikiwa.

Unaambiwa prezida nkurunzinza alisafirishwa kwa siri chap chap kutoka dar hadi kigoma, kisha akavushwa mpaka kisirisiri mpaka ikulu,baadae watu wanashangaa rais anahutubia taifa akiwa ikulu, yeye mwenyewe anawashangaa watu wanaosema amepinduliwa.
Wewe ni muongo saana TZ haiwezi kufadhiri vita ya DRC

Pili Nkurunzinza hakupitia kigoma alipitia Kagera (shemeji yangu alishiriki hii Op)

Hiyo Burundi imempiga M23 kwenye battle gan aliyakuwa toka kuanguka kwa goma hakuna battle yoyote kubwa iliyotokea up to now
 
Hapana Red Tabara hawawezi kuwasaidia FARDC , Ikumbukwe hawa red Tabara walianzia miaka ya 2015 au 2017 hivi huko Burundi , leo lao la kwanza ilikua kumtoa madarakani Rais Nkuru ,

Lakini kwa jicho la ndani pia Red Tabara wana mafungamano na kile kile kikundi cha mtu mrefu , hivyo kwa muktadha huo Red Tabala hawawezi kukaa pamoja na FARDC , Kwa kiasi waasi ambao wako loyal na FARDC labda wale FDLR
FARDC
FDLR
mai Mai
Nyatura hili ni genge
Wapo pamoja
 
Muhasibu naongezea hapo kuna jamaa yangu aliniambia kitu na leo nimekiona kwa gazette hapo, aliniambia kuwa wale waasi wa DRc ni shenzi type wakipigwa na kuuawa huwa hawaachi wenzao nyuma watawaburuza huku wanakimbia wakifika umbali fulani ndipo huwakata kata wenzao vipande vipande na kusepa navyo,

Hii yote hawataki hata siku moja ionekane wamepigwa na maiti zao kuzagaa kwao mwiko,

Ikifikia hatua miili yao kutapakaa baada ya kipigo ujue yaliwafika haswa na hapo hawana jinsi
Wale ni wanajeshi wa Rwanda so lazima wafiche evidence

Mwaka Jana mwishoni Rwanda R.I.P za wanajeshi zilikuwa ni nyingi saana
 
Haya mambo ya CONGO, Kuna andiko Moja aliandika Mshana Jr kwamba "Tatizo la CONGO ni mkataba"
Jeuri ya Rwanda ni back up ya USA, EU, ISRAEL n.k.
Hivi sasa Rwanda Ina soko kubwa la madini ya Coltan, wakati Hana mgodi. Coltan inahitajika sana kwenye vifaa vya electroniki. Mwaka Jana Bilionea Elon Musk alitembelea Rwanda, na akatoa offer ya internet (star link) bure....
Jiulize Kuna nini so special pale Rwanda??
CONGO alinunua drones Toka China kwa ajili ya kuilinda Goma, zilipofika hazikuweza kutumika, kisa? Eti M23 na Rwanda wake wame - hack mawimbi ya GPS ili drones zisiongozeke KATIKA eneo Hilo. Nani anayemsimamilia ktk teknolojia hiyo Rwanda?
 
Naomba EAC WAKAE CHINI KWA PAMOJA WAKEMEE NA KUALANI HAYA MAMBO YA KISHENZI YA WAHUNI WA M23

HAWA M23 NI RWANDA NA MKIWACHEKEA WANAINGIA KILA NCHXI YA EAC


INASIKITISHA SANA KANCHI MWANZA KUBWA ATI ANAINGIA DRC NA KUNA UNESCO KUNA WANAJESHI WA SADC

SIDHANI NA BADO NA JIULIZA HAWA WATU WANAENDA KONGO KUFANYA NN

MAJESHI YOTE YALE M23 WANAWASHINDA AISEE

HII DHAMBI TUIKATAE TUIKEMEEE MILEEEE
 
Akili Yako ndogo nimeishia hapo kwenye population ya watu yaani ulivyozuzu unafikiri kushinda vita ni wingi wa watu waliopo nchi kawachokoze Israel population yao 9M tu kama nchi Yako yenye population 67M haijageuzwa majivu
Wewe ndio huna akili hio ni moja ya factor ,mwenzio kataja factors nyingi hiyo ikiwa mojawapo.

We hujiulizi kwann Ukraine pamoja na kupata silaha kutoka magharibi bado anataka na workforces?? Hujiulizi kwann anawataka raia wake wasikimbie nchi na wajiunge na jeshi??

Unahisi hizo armored vehicles zitaongozwa na mizimu?


Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni muongo saana TZ haiwezi kufadhiri vita ya DRC

Pili Nkurunzinza hakupitia kigoma alipitia Kagera (shemeji yangu alishiriki hii Op)

Hiyo Burundi imempiga M23 kwenye battle gan aliyakuwa toka kuanguka kwa goma hakuna battle yoyote kubwa iliyotokea up to now
Watutsi mnapeana tu shift
 
Back
Top Bottom