Mzozo wa Ukraine: NATO yaanza kupiga jaramba

Unaambiwa ukweli unaleta ujinga , nature ndio iko hivyo believe or not
Nature imetengeneza nuclear weapons na kuwaelekeza NATO na Russia waweke mazingira ya kuzitumia halafu wewe ushabikie?

Hakuna lolote, wewe nawe ni umekata tamaa ya maisha hivyo hauoni umuhimu wa maisha ya kesho kwa watoto wa leo.
 
Atajua mwenyewe huko kwake. Wengine ngoja wawaambie viongozi wa dini kila mtu kwa imani yake waiombee dunia iepukane na vita ya 3 maisha yaendelee.
Hivi nani kawaambia kuna vita vya tatu vya dunia?

Unajua waafrika hasa watz mnatakiwa mpunguze mihemuko kwenye vitu msivyovijua, hii aina ya machafuko ni kaiwaida kabisa na mara nyingi yamekuwa yakifanywa na USA, sijui tu nini kinawafanya mjambejambe kwenye haka ka- issue.
 
Hakuna mhemko wowote. Hapa nipo naangalia na kufuatilia huu mzozo siku ya pili sasa kama sehemu ya mm kupumzika na majukumu, ikitokea tu puttin akagusa nchi member wa NATO basi dunia ipo kwenye hatari ya vita kubwa.
Tayari ujerumani na nchi za ulaya zinajiimarisha mipakani iwapo puttin ataamua kuunga.
sasa kuhusu maombi si mihemko bali ni imani tu kuwa MUNGU afanye wepesi dunia isifike huko.
 
Halafu inaonekana hujui mambo ambayo yanaweza kutriger w/war ndo maana unadhani ni kujambajamba kwa waafrika.
Embu pekua pekua ww2 ilisababishwa na nini.
 
Umeandika, kwa ushabiki mkubwa sana. Mnampa USA huwezo ambao hana na ndio maana hata akidindiwa na wanaume kama North korea na iran huwa hamkubali mnabaki kushupaza shingo tu

Trump mwenyewe alisaluti kwa irani baada ya kuishusha drone ambayo waliiaminisha dunia kwamba hiyo drone haiwezi kuonekana na rada yohote ile kumbe wairani walikuwa wanawachora tu toka wanaanza kuirusha kutokea Omani
 
Halafu inaonekana hujui mambo ambayo yanaweza kutriger w/war ndo maana unadhani ni kujambajamba kwa waafrika.
Embu pekua pekua ww2 ilisababishwa na nini.
Russia hawezi kugusa nchi zinazounda NATO kwakua hakuwahi kuwa na hilo lengo, Putin ameingia Ukraine kulinda maslahi yake na ameonya hataki kuingiliwa na mtu yoyote, kwahiyo kama ni swala ww3 litakuja kama hao NATO watataka kuingiliw yasiyowahusu.

Ukipunguza mihemuko na umarekani mwingi utaelewa ni kwanini hii vita haiwezi kulete ww3 kama waafrika wengi mnavyodhani.

Na ndiomaana Putin amewataka waafrika mmalize kwanza tatizo lenu la njaa kabla hamjaanza kumfundisha namna ya kudeal na international disputes, ni kwasababu hamjui kitu.
 
NATO ni kama CCM tu
 

Mambo ya Uafrika wetu na hizo njaa ni tatizo letu tutaendelea kupambana nalo.

Mambo ya mihemko na umarekani ni tatizo lako huko akilini mwako, hakuna hoja hapo ya kukujibu zaidi ya jibu utakalojipa.


Mwisho haijalishi vita vitatokana na nn Tunachoomba ni visiendelee. Haijalishi Russia kagusa Nato au USA hajamsikiliza Puttin.
Tunachoomba vita inayoendelea isiendelee maana kama unavyotusema sisi waafrika hatuwezi kupigana na njaa huku dunia ipo vitani. Tutafanya vipi biashara zetu?
 
Hamna lolote mnamsfia bure tu...ni vle watu wameamua kutoingilia vta isowahusu
 
Ukraine haiko ndani ya Nato,wacha Russia aguze moja ya hizo nchi na Nato zilizopakana na Russia,ndio katanuka NATO ni moto ya kuotea mbali ata Putin anajua!
 
Kwa sasa Puttin anaishi kwa mashaka kuliko ilivyokuwa kabla hajaivamia Ukraine.

Hofu ya vikwazo na madhara yake bila kusahau hofu ya nini kinaweza kufanyika kulipiza kisasa iwe ni leo, kesho au keshokutwa.
Endeleeni kujifariji
 
JUST IN - German Defense Minister Lambrecht fears #Putin is no longer afraid of attacking NATO partners.

Lambrecht: "He is not predictable at all right now."
Ndo kusema watuchukua tena Berlin...mi nadhani kuna ukweli unafichwa
 
Reports: The Armed Forces of #Ukraine surrendered Starobelsk and Severodonetsk without a fight
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…