Mzozo wa Ukraine: NATO yaanza kupiga jaramba

Mzozo wa Ukraine: NATO yaanza kupiga jaramba

Siyo kashindikana yaani hana cha kupoteza, na Ukraine wao walikosea sana kuungana na matapeli NATO. Bora wangekaa wakayamaliza bila hawa wahuni ambao wanaishia kuogopa hata kupeleka wanajeshi
Kwa nini aogope kwa ukraine kujiunga na NATO?yeye Russia si ni mkubwa,amuache mwenzake aamue kujiunga na yeyote
 
Kwa nini aogope kwa ukraine kujiunga na NATO?yeye Russia si ni mkubwa,amuache mwenzake aamue kujiunga na yeyote
hata kuamua kutokujiunga pia kunaonesha ukubwa wa RUSSIA ukubwa sio kukubali tuuuu
 
Kwa sasa Puttin anaishi kwa mashaka kuliko ilivyokuwa kabla hajaivamia Ukraine.

Hofu ya vikwazo na madhara yake bila kusahau hofu ya nini kinaweza kufanyika kulipiza kisasa iwe ni leo, kesho au keshokutwa.
Hujamjua putin vizur kumbe.. huyo ni komando.. ni mwanajeshi halaf jasus.. akili yake akishakula bangi zake haelew kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sasa Puttin anaishi kwa mashaka kuliko ilivyokuwa kabla hajaivamia Ukraine.

Hofu ya vikwazo na madhara yake bila kusahau hofu ya nini kinaweza kufanyika kulipiza kisasa iwe ni leo, kesho au keshokutwa.
Russia ilipofikia vikwazo wakiweka nae anaweka vikwazo.. kaisha jenga mfumo imara wa kuiangusha USA
 
The activation of the response troops does not mean that any US or NATO troops will go into Ukraine, which is not a member. US President Joe Biden has been clear that US troops are deploying to eastern Europe to help bolster NATO countries nervous about Russia's aggressive actions, and they will not be fighting in Ukraine

Nimesoma hadi hapo nikaishia hapo
Hahaah. Umeona wanajijambisha wwnyew tu. Hahahaha.. janja janja sana hawa wazungu wa west

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eukraine si member wa NATO. Wanatengeneza mazingira iwapo Puttin ataamua kuigusa nchi member wa NATO basi liwalo na liwe wote mpaka wewe nyani gabu uelewe maana ya vita. Tuombe sana hawa viongozi wenye nuclear wasiwe vichaa wakaamua uamuzi kichaa.
View attachment 2131253View attachment 2131254View attachment 2131255
Hii dunia si ya leo.. mwanadamu amekua wiped dunian zaid ya mara 1000.. so hata sis tutakua wiped n the cycle itaendelea...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The activation of the response troops does not mean that any US or NATO troops will go into Ukraine, which is not a member. US President Joe Biden has been clear that US troops are deploying to eastern Europe to help bolster NATO countries nervous about Russia's aggressive actions, and they will not be fighting in Ukraine.
Hilo jalamba lao linaishia nje ya eneo la kuchezea mpira. Wajiingize Ukrain watajua Putin hatanii. Marekani NATO wana taarifa zaidi ya miezi minne kuwa Putin atavamia Ukrain lakini wameufyata.

Wanajua fika hana mpango na hizo nchi zingine wanajitutumua tu hao Nato kuondoa stress za wananchi
 
Ikapita siku saba kwenye huu mzozo bila urusi kutikiswa na yeyote miongoni mwa nchi za Ulaya ama Marekani... Basi itadhihirika kwamba Urusi hana Mbabe wake
Na baada ya sekeseke hili marekan atajiskia vibaya sana na aibu maana itaonekana kuna kiranja mpya wa dunia... Yeye marekan keshafanya sana mambo kama haya... In these 30 yrs marekan kasambaratisha mataifa zaid ya ma 5

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom