FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,060
Sijakuelewa vizuri!wanaonyesha Fox News satellite wameonyesha satellite ya ndege za jeshi airport Kwa hiyo putting hatoweza ku occupy aiport
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakuelewa vizuri!wanaonyesha Fox News satellite wameonyesha satellite ya ndege za jeshi airport Kwa hiyo putting hatoweza ku occupy aiport
Airport iko tayari chini ya Russia we dada unaongea nini[emoji23][emoji23][emoji23]wanaonyesha Fox News satellite wameonyesha satellite ya ndege za jeshi airport Kwa hiyo putting hatoweza ku occupy aiport
Ukraine amejiunga NATO lini?Siyo kashindikana yaani hana cha kupoteza, na Ukraine wao walikosea sana kuungana na matapeli NATO. Bora wangekaa wakayamaliza bila hawa wahuni ambao wanaishia kuogopa hata kupeleka wanajeshi
Mbona tangu jioni taarifa zinasema Airport tayari ipo chini ya Urusiwanaonyesha Fox News satellite wameonyesha satellite ya ndege za jeshi airport Kwa hiyo putting hatoweza ku occupy aiport
Ni mshirika wa NATO bado hajajiungaUkraine amejiunga NATO lini?
Kwa nini aogope kwa ukraine kujiunga na NATO?yeye Russia si ni mkubwa,amuache mwenzake aamue kujiunga na yeyoteSiyo kashindikana yaani hana cha kupoteza, na Ukraine wao walikosea sana kuungana na matapeli NATO. Bora wangekaa wakayamaliza bila hawa wahuni ambao wanaishia kuogopa hata kupeleka wanajeshi
nahamna wakumtikisa wamemtia chakike mwenzao wapuuzi waleIkapita siku saba kwenye huu mzozo bila urusi kutikiswa na yeyote miongoni mwa nchi za Ulaya ama Marekani... Basi itadhihirika kwamba Urusi hana Mbabe wake
Hao jamaa wanaenda kujipenyeza kimya kimya,hawatangazi.wanaonyesha Fox News satellite wameonyesha satellite ya ndege za jeshi airport Kwa hiyo putting hatoweza ku occupy aiport
hata kuamua kutokujiunga pia kunaonesha ukubwa wa RUSSIA ukubwa sio kukubali tuuuuKwa nini aogope kwa ukraine kujiunga na NATO?yeye Russia si ni mkubwa,amuache mwenzake aamue kujiunga na yeyote
Hujamjua putin vizur kumbe.. huyo ni komando.. ni mwanajeshi halaf jasus.. akili yake akishakula bangi zake haelew kituKwa sasa Puttin anaishi kwa mashaka kuliko ilivyokuwa kabla hajaivamia Ukraine.
Hofu ya vikwazo na madhara yake bila kusahau hofu ya nini kinaweza kufanyika kulipiza kisasa iwe ni leo, kesho au keshokutwa.
Russia ilipofikia vikwazo wakiweka nae anaweka vikwazo.. kaisha jenga mfumo imara wa kuiangusha USAKwa sasa Puttin anaishi kwa mashaka kuliko ilivyokuwa kabla hajaivamia Ukraine.
Hofu ya vikwazo na madhara yake bila kusahau hofu ya nini kinaweza kufanyika kulipiza kisasa iwe ni leo, kesho au keshokutwa.
Hahaah. Umeona wanajijambisha wwnyew tu. Hahahaha.. janja janja sana hawa wazungu wa westThe activation of the response troops does not mean that any US or NATO troops will go into Ukraine, which is not a member. US President Joe Biden has been clear that US troops are deploying to eastern Europe to help bolster NATO countries nervous about Russia's aggressive actions, and they will not be fighting in Ukraine
Nimesoma hadi hapo nikaishia hapo
Hii dunia si ya leo.. mwanadamu amekua wiped dunian zaid ya mara 1000.. so hata sis tutakua wiped n the cycle itaendelea...Eukraine si member wa NATO. Wanatengeneza mazingira iwapo Puttin ataamua kuigusa nchi member wa NATO basi liwalo na liwe wote mpaka wewe nyani gabu uelewe maana ya vita. Tuombe sana hawa viongozi wenye nuclear wasiwe vichaa wakaamua uamuzi kichaa.
View attachment 2131253View attachment 2131254View attachment 2131255
Umeshiba si kosa lako ni tumbo limezidiwa.Hii dunia si ya leo.. mwanadamu amekua wiped dunian zaid ya mara 1000.. so hata sis tutakua wiped n the cycle itaendelea...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo jalamba lao linaishia nje ya eneo la kuchezea mpira. Wajiingize Ukrain watajua Putin hatanii. Marekani NATO wana taarifa zaidi ya miezi minne kuwa Putin atavamia Ukrain lakini wameufyata.The activation of the response troops does not mean that any US or NATO troops will go into Ukraine, which is not a member. US President Joe Biden has been clear that US troops are deploying to eastern Europe to help bolster NATO countries nervous about Russia's aggressive actions, and they will not be fighting in Ukraine.
Na baada ya sekeseke hili marekan atajiskia vibaya sana na aibu maana itaonekana kuna kiranja mpya wa dunia... Yeye marekan keshafanya sana mambo kama haya... In these 30 yrs marekan kasambaratisha mataifa zaid ya ma 5Ikapita siku saba kwenye huu mzozo bila urusi kutikiswa na yeyote miongoni mwa nchi za Ulaya ama Marekani... Basi itadhihirika kwamba Urusi hana Mbabe wake
Unavyomuita hvyo hayo majina yote.. ushakaa umskie sabab zake za why anmeamua kufanya hayo.. hata ningekua mm nisingekubalMimi ndio nasema kwa sababu ni pure evil narcisstic histrionic Ataona to help let me destroy the world .
Kanusha kwa hoja basi.. kanusha nilichosema kwa hoja na acha lawama unaonekana ni low iq.. kanusha hoja yangu kwa hoja si kukimbilia ooh umeshiba.. soo what?Umeshiba si kosa lako ni tumbo limezidiwa.