Mzozo wa Yanga SC na ENDA Tour: Yanga yatakiwa kulipa milioni 200 au kupelekwa FIFA

Mzozo wa Yanga SC na ENDA Tour: Yanga yatakiwa kulipa milioni 200 au kupelekwa FIFA

Ismail Aden Rage alikuwa sahihi kuhusu Umbumbumbu wa hawa makolo

Jambo wala hali make sense hata kidogo
Huu mjadala umeuzidi uwezo wako wa kiakili, tafadhali nenda kwenye nyuzi za hoyahoya ulizozoea ukachangie....
FB_IMG_1657784569286.jpg
 
Kampuni inatambulika na FIFA kwa mujibu wa jemedari,sasa kama sio sehemu ya industry FIFA ina itambua ya nini? ndio maana nikakwambia sio kila ambacho hujakiona hakipo
Hiyo kampuni inahusika na nn?

Imesajiliwa na FIFA kwa kifungu gani?

Kazi yake ni nini?

Huko CAS kulishawahi kutokea kesi inayohusu Kambi au hii ya Yanga ndio ya kwanza?
 
Hiyo kampuni inahusika na nn?

Imesajiliwa na FIFA kwa kifungu gani?

Kazi yake ni nini?

Huko CAS kulishawahi kutokea kesi inayohusu Kambi au hii ya Yanga ndio ya kwanza?
Hii ina husika na kuandaa michezo ya mpira, gofu n.k, vile vile ina andaa kambi mbali
mbali kwa timu na watu wengine, huyu Endatour ana leseni ya FIFA kama AGENT wao (LICENSED MATCH AGENT) , hawezi kuandaa mambo ya kimichezo kinyemela hii kampuni kubwa ( tembelea endatour.com)
 

Attachments

  • 1657875827534.jpeg
    1657875827534.jpeg
    7 KB · Views: 5
Jemedari Said sijui ana nini na Yanga! Ndiyo huyu huyu kwa chuki zake binafsi alisababisha Metacha Mnata kuachwa na Yanga msimu uliopita, baada ya kumjaza upepo na hivyo kumtoa mchezoni!

Ana nini huyu jamaa na timu ya wananchi?
Mimi si shabiki wa Yanga, lakini baada ya kugundua upuuzi wa Jemadari Said kwamba si Mchambuzi ni Mwanaharakati wa timu, sihangaiki tena kutafuta ameandika nini.
 
Lakini swala la kuahirishwa kwa pre-season yenu Turkey ni la ukweli au uongo? Sasa wewe badala ya kujadili alichoreport Jemedari, wewe unaanza kum-attack personally.

[emoji23]
Wala sijamu attack personally! Anatakiwa ku declare interest kama ana kinyongo na Yanga, au la!
Hayo masuala ya Yanga kuahirisha kambi au kulipa faini alitakiwa kama mwandishi wa habari, kwenda kusikiliza pia upande wa pili wa Yanga, ndipo angekuja na habari kamili.

Kwa kitendo chake cha kuleta taarifa ya upande mmoja, haina tofauti na umbeya na ukanjanja kwenye tasnia ya habari! Mimi siyo mwandishi wa habari. Ila sikubaliani na taarifa za aina hii kutoka kwa mtu anayetambulika kama mwana habari.
 
Hiyo kampuni inahusika na nn?

Imesajiliwa na FIFA kwa kifungu gani?

Kazi yake ni nini?

Huko CAS kulishawahi kutokea kesi inayohusu Kambi au hii ya Yanga ndio ya kwanza?
Ngoja wenye mioyo ya kuelekeza waje wakufafanulie, ni rahisi sana kumuelewesha(fundisha) mwanafunzi wa form 4 kuliko yule wa chekechekea.
 
Wala sijamu attack personally! Anatakiwa ku declare interest kama ana kinyongo na Yanga, au la!
Hayo masuala ya Yanga kuahirisha kambi au kulipa faini alitakiwa kama mwandishi wa habari, kwenda kusikiliza pia upande wa pili wa Yanga, ndipo angekuja na habari kamili.

Kwa kitendo chake cha kuleta taarifa ya upande mmoja, haina tofauti na umbeya na ukanjanja kwenye tasnia ya habari! Mimi siyo mwandishi wa habari. Ila sikubaliani na taarifa za aina hii kutoka kwa mtu anayetambulika kama mwana habari.
Lakini mbona sijawahi kusikia mkitaka Priva au Kitenge wa-declear interest zao juu ya Yanga Sc?
 
Wala sijamu attack personally! Anatakiwa ku declare interest kama ana kinyongo na Yanga, au la!
Hayo masuala ya Yanga kuahirisha kambi au kulipa faini alitakiwa kama mwandishi wa habari, kwenda kusikiliza pia upande wa pili wa Yanga, ndipo angekuja na habari kamili.

Kwa kitendo chake cha kuleta taarifa ya upande mmoja, haina tofauti na umbeya na ukanjanja kwenye tasnia ya habari! Mimi siyo mwandishi wa habari. Ila sikubaliani na taarifa za aina hii kutoka kwa mtu anayetambulika kama mwana habari.
Basi tufanye yanga inaenda uturuki au USA
 
Lakini swala la kuahirishwa kwa pre-season yenu Turkey ni la ukweli au uongo? Sasa wewe badala ya kujadili alichoreport Jemedari, wewe unaanza kum-attack personally.

[emoji23]
Huyo ni wa kumpuuza kashawehukwa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii ina husika na kuandaa michezo ya mpira, gofu n.k, vile vile ina andaa kambi mbali
mbali kwa timu na watu wengine, huyu Endatour ana leseni ya FIFA kama AGENT wao (LICENSED MATCH AGENT) , hawezi kuandaa mambo ya kimichezo kinyemela hii kampuni kubwa ( tembelea endatour.com)
Hata hajui hilo yeye, msameheni tyuuh
 
Yanga SC imeingia katika mzozo na Kampuni ya uwakala wa mechi inayojulikana kama ENDA TOUR ambayo inatambulika na FIFA, kwa KUKIUKA MAKUBALIANO ya kimkataba.

Yanga inasemekana waliingia mkataba na Kampuni hiyo ili iandaliwe kambi ya mazoezi na mechi wakati huu wa maandalizi ya msimu (Pre-season).

Kambi ilipangwa kuwa nchini UTURUKI kwenye Jimbo la Kocael kitongoji cha Kartepe kwenye Hotel ya GREEN PARK, na mtu waliekuwa wanawasiliana nae anaitwa ABDULFATAH FAD.

Kambi ilikuwa ianze tarehe 15/7 /2022 mpaka taerehe 4/8/2022 ikichukua watu 50 wa Yanga ambao ni pamoja na wachezaji, benchi la ufundi na viongozi.

Kwa mujibu wa mkataba kama Yanga wangeamua kuachana na kambi hiyo siku 10 kabla ya tarehe 15/7/2022 wangelazinika kulipa 20% ya malipo yote waliyokubalina ya Dola za Marekani 87,000/ ($87,000) ambayo ni zaidi ya 200,000,000/=

Lakini kama wakiamua kughairisha ndani ya siku 9 kabla ya tarehe 15/7/2022 wanalazimika kulipa 100% ya dola 87,000/=

Yanga kupitia kwa CEO wao SENZO MBATHA wameandika barua pepe leo tarehe 14/7/2022 wakieleza kugahirisha kambi hiyo ya Uturuki.

Sababu ikiwa ni ratiba ngumu waliyopokea kutoka Bodi ya Ligi. Akaomba msamaha kwa usumbufu utakaojitokeza.

Senzo alijibiwa kwa kuulizwa kwanini anaghairishaje safari leo ilihali timu nyingine waliyoingia nayo mkataba inakuja kesho, tarehe 15/7.

Pia anakumbuka kwamba wana mkataba ambao unasema ukighairisha kambi zikiwa zimebaki siku 9 kabla ya siku unayotakiwa kuwa kambini unapaswa kulipia 100% ya malipo na kuamliwa KULIPA hiyo pesa ndani ya wiki hii.

Taarifa zinasema ENDA TOUR wanajiandaa kuleta malalamiko TFF kabla ya kwenda FIFA kama ilivyo ada.

BIN KAZUMARI (The voice of the voiceless)C/P
Senzo hawawezi kuwa mjinga kiasi hicho
 
Back
Top Bottom