Huu mjadala umeuzidi uwezo wako wa kiakili, tafadhali nenda kwenye nyuzi za hoyahoya ulizozoea ukachangie....Ismail Aden Rage alikuwa sahihi kuhusu Umbumbumbu wa hawa makolo
Jambo wala hali make sense hata kidogo
Hiyo kampuni inahusika na nn?Kampuni inatambulika na FIFA kwa mujibu wa jemedari,sasa kama sio sehemu ya industry FIFA ina itambua ya nini? ndio maana nikakwambia sio kila ambacho hujakiona hakipo
Kama hauna fact,wala hauna haki ya kuzungumza jambo usilolijuaHuu mjadala umeuzidi uwezo wako wa kiakili, tafadhali nenda kwenye nyuzi za hoyahoya ulizozoea ukachangie....View attachment 2291280
Hii ina husika na kuandaa michezo ya mpira, gofu n.k, vile vile ina andaa kambi mbaliHiyo kampuni inahusika na nn?
Imesajiliwa na FIFA kwa kifungu gani?
Kazi yake ni nini?
Huko CAS kulishawahi kutokea kesi inayohusu Kambi au hii ya Yanga ndio ya kwanza?
Mimi si shabiki wa Yanga, lakini baada ya kugundua upuuzi wa Jemadari Said kwamba si Mchambuzi ni Mwanaharakati wa timu, sihangaiki tena kutafuta ameandika nini.Jemedari Said sijui ana nini na Yanga! Ndiyo huyu huyu kwa chuki zake binafsi alisababisha Metacha Mnata kuachwa na Yanga msimu uliopita, baada ya kumjaza upepo na hivyo kumtoa mchezoni!
Ana nini huyu jamaa na timu ya wananchi?
Ujuaji mwingi mwisho ni aibu FIFA inahusika vipi na tour za team na preseason? niletee hapa ushahidiMpira ni mali ya fifa,ili uwe wakala w wachezaji au hizi tour lazima utambulike na fifa
Wala sijamu attack personally! Anatakiwa ku declare interest kama ana kinyongo na Yanga, au la!Lakini swala la kuahirishwa kwa pre-season yenu Turkey ni la ukweli au uongo? Sasa wewe badala ya kujadili alichoreport Jemedari, wewe unaanza kum-attack personally.
[emoji23]
Ngoja wenye mioyo ya kuelekeza waje wakufafanulie, ni rahisi sana kumuelewesha(fundisha) mwanafunzi wa form 4 kuliko yule wa chekechekea.Hiyo kampuni inahusika na nn?
Imesajiliwa na FIFA kwa kifungu gani?
Kazi yake ni nini?
Huko CAS kulishawahi kutokea kesi inayohusu Kambi au hii ya Yanga ndio ya kwanza?
Lakini mbona sijawahi kusikia mkitaka Priva au Kitenge wa-declear interest zao juu ya Yanga Sc?Wala sijamu attack personally! Anatakiwa ku declare interest kama ana kinyongo na Yanga, au la!
Hayo masuala ya Yanga kuahirisha kambi au kulipa faini alitakiwa kama mwandishi wa habari, kwenda kusikiliza pia upande wa pili wa Yanga, ndipo angekuja na habari kamili.
Kwa kitendo chake cha kuleta taarifa ya upande mmoja, haina tofauti na umbeya na ukanjanja kwenye tasnia ya habari! Mimi siyo mwandishi wa habari. Ila sikubaliani na taarifa za aina hii kutoka kwa mtu anayetambulika kama mwana habari.
Hilo ni jukumu lenu kuwaambia ukweli kama nilivyofanya mimi hapa.Lakini mbona sijawahi kusikia mkitaka Priva au Kitenge wa-declear interest zao juu ya Yanga Sc?
Sawa mamaNgoja wenye mioyo ya kuelekeza waje wakufafanulie, ni rahisi sana kumuelewesha(fundisha) mwanafunzi wa form 4 kuliko yule wa chekechekea.
Basi tufanye yanga inaenda uturuki au USAWala sijamu attack personally! Anatakiwa ku declare interest kama ana kinyongo na Yanga, au la!
Hayo masuala ya Yanga kuahirisha kambi au kulipa faini alitakiwa kama mwandishi wa habari, kwenda kusikiliza pia upande wa pili wa Yanga, ndipo angekuja na habari kamili.
Kwa kitendo chake cha kuleta taarifa ya upande mmoja, haina tofauti na umbeya na ukanjanja kwenye tasnia ya habari! Mimi siyo mwandishi wa habari. Ila sikubaliani na taarifa za aina hii kutoka kwa mtu anayetambulika kama mwana habari.
Huwezi kuelewa mambo mazito kama kutwa nzima unashinda jf jukwaa la michezo,uwe una google kujifunza vitu kwenye sites nyingineUjuaji mwingi mwisho ni aibu FIFA inahusika vipi na tour za team na preseason? niletee hapa ushahidi
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Huyo ni wa kumpuuza kashawehukwa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lakini swala la kuahirishwa kwa pre-season yenu Turkey ni la ukweli au uongo? Sasa wewe badala ya kujadili alichoreport Jemedari, wewe unaanza kum-attack personally.
[emoji23]
Hata hajui hilo yeye, msameheni tyuuhHii ina husika na kuandaa michezo ya mpira, gofu n.k, vile vile ina andaa kambi mbali
mbali kwa timu na watu wengine, huyu Endatour ana leseni ya FIFA kama AGENT wao (LICENSED MATCH AGENT) , hawezi kuandaa mambo ya kimichezo kinyemela hii kampuni kubwa ( tembelea endatour.com)
Senzo hawawezi kuwa mjinga kiasi hichoYanga SC imeingia katika mzozo na Kampuni ya uwakala wa mechi inayojulikana kama ENDA TOUR ambayo inatambulika na FIFA, kwa KUKIUKA MAKUBALIANO ya kimkataba.
Yanga inasemekana waliingia mkataba na Kampuni hiyo ili iandaliwe kambi ya mazoezi na mechi wakati huu wa maandalizi ya msimu (Pre-season).
Kambi ilipangwa kuwa nchini UTURUKI kwenye Jimbo la Kocael kitongoji cha Kartepe kwenye Hotel ya GREEN PARK, na mtu waliekuwa wanawasiliana nae anaitwa ABDULFATAH FAD.
Kambi ilikuwa ianze tarehe 15/7 /2022 mpaka taerehe 4/8/2022 ikichukua watu 50 wa Yanga ambao ni pamoja na wachezaji, benchi la ufundi na viongozi.
Kwa mujibu wa mkataba kama Yanga wangeamua kuachana na kambi hiyo siku 10 kabla ya tarehe 15/7/2022 wangelazinika kulipa 20% ya malipo yote waliyokubalina ya Dola za Marekani 87,000/ ($87,000) ambayo ni zaidi ya 200,000,000/=
Lakini kama wakiamua kughairisha ndani ya siku 9 kabla ya tarehe 15/7/2022 wanalazimika kulipa 100% ya dola 87,000/=
Yanga kupitia kwa CEO wao SENZO MBATHA wameandika barua pepe leo tarehe 14/7/2022 wakieleza kugahirisha kambi hiyo ya Uturuki.
Sababu ikiwa ni ratiba ngumu waliyopokea kutoka Bodi ya Ligi. Akaomba msamaha kwa usumbufu utakaojitokeza.
Senzo alijibiwa kwa kuulizwa kwanini anaghairishaje safari leo ilihali timu nyingine waliyoingia nayo mkataba inakuja kesho, tarehe 15/7.
Pia anakumbuka kwamba wana mkataba ambao unasema ukighairisha kambi zikiwa zimebaki siku 9 kabla ya siku unayotakiwa kuwa kambini unapaswa kulipia 100% ya malipo na kuamliwa KULIPA hiyo pesa ndani ya wiki hii.
Taarifa zinasema ENDA TOUR wanajiandaa kuleta malalamiko TFF kabla ya kwenda FIFA kama ilivyo ada.
BIN KAZUMARI (The voice of the voiceless)C/P
Umemkuza sana mkuu huku ukijua huyu jamaa ndiye aliyetudanganya kwamba kesi ya morisoni cas lazima tushinde.Senzo hawawezi kuwa mjinga kiasi hicho