Shashi nalley
Senior Member
- Nov 5, 2016
- 136
- 111
Trans boundary resource, mfano mto Nile, mountain Kilimanjaro, lake Tanganyika, lake Malawi or ziwa Nyasa, nyakati nyingi zimekuwa chanzo cha mafarakano kati ya taifa moja la jingine, trans boundary resource, kiuhalisia huwa haina mumiliki isipokuwa co _oparian member huwa ndio wamiliki wa eneo hilo, mfano Egypt sio mumiliki wa MTO Nile Bali sehemu ya resource ilipopita nchi husika hupewa hati or membership ya umiliki, kwa ziwa Nyasa au Malawi ,nalo ni mfano was trans boundary resource, hakuna mumiliki mmoja ila membership ambao ni Tanganyika Tanzania na mawali , wanaweza kuanzisha organization yao kisheria kwa madhumuni mbali mbali, mfano kuendeleza zana ya amani miongoni mwao security, equal benefits among co _parian member mfano gesi na mafuta, research and conservation of lake Nyasa or Malawi, na nyingine nyingi, .But tukiamua kufuata siasa za magaribi, wadau, Commonwealth, mkoloni , history, sijui nani mwenye jina la ziwa , sijui nani anajeshi kubwa la kumshinda mwenzake hatufiki, .Hebu tujikubushe mgogoro wa Tanzania na Egypt juu ya matumizi ya MTO Nile,
Mwisho trans boundary resource is a kind of resources cross from one boundary to another, na nikama case study ambazo mwenyezi MUNGU hutoa kuwapima maja waka, hivyo basi hekima na upendo kati ya Malawi na Tanzania inahitajika, amen
Mwisho trans boundary resource is a kind of resources cross from one boundary to another, na nikama case study ambazo mwenyezi MUNGU hutoa kuwapima maja waka, hivyo basi hekima na upendo kati ya Malawi na Tanzania inahitajika, amen