Mzozo wazuka upya kuhusu mpaka wa Tanzania na Malawi

Mzozo wazuka upya kuhusu mpaka wa Tanzania na Malawi

Heheee... Nenda kajidanganye huko manzense bwana.There is absolutely new from you people.
Kwahiyo unakubali kama KDF wanauza mkaa Somalia. Asante kwa jibu lako jepesi.
 
Trans boundary resource, mfano mto Nile, mountain Kilimanjaro, lake Tanganyika, lake Malawi or ziwa Nyasa, nyakati nyingi zimekuwa chanzo cha mafarakano kati ya taifa moja la jingine, trans boundary resource, kiuhalisia huwa haina mumiliki isipokuwa co _oparian member huwa ndio wamiliki wa eneo hilo, mfano Egypt sio mumiliki wa MTO Nile Bali sehemu ya resource ilipopita nchi husika hupewa hati or membership ya umiliki, kwa ziwa Nyasa au Malawi ,nalo ni mfano was trans boundary resource, hakuna mumiliki mmoja ila membership ambao ni Tanganyika Tanzania na mawali , wanaweza kuanzisha organization yao kisheria kwa madhumuni mbali mbali, mfano kuendeleza zana ya amani miongoni mwao security, equal benefits among co _parian member mfano gesi na mafuta, research and conservation of lake Nyasa or Malawi, na nyingine nyingi, .But tukiamua kufuata siasa za magaribi, wadau, Commonwealth, mkoloni , history, sijui nani mwenye jina la ziwa , sijui nani anajeshi kubwa la kumshinda mwenzake hatufiki, .Hebu tujikubushe mgogoro wa Tanzania na Egypt juu ya matumizi ya MTO Nile,
Mwisho trans boundary resource is a kind of resources cross from one boundary to another, na nikama case study ambazo mwenyezi MUNGU hutoa kuwapima maja waka, hivyo basi hekima na upendo kati ya Malawi na Tanzania inahitajika, amen
huenda ni kweli umeibuka upya, maada pamoja na kubana matumizi lakini ndege za kijeshi na makomandoo vimeruhusiwa kufanya mazoezi hadharani kama advertise ya kiaina vile...
 
Huu utoto kueleweshana na MTU anayejifanya haelewi,mhm tubebe vifaa vichache tukaviweke kule mpakani na hiyo anayesema maji yote yake asogee sasa, na sie raia twende ziwani tukapuge mbizi wachukie wapate hasira na Sie tupate sababu
 
Kwahiyo unakubali kama KDF wanauza mkaa Somalia. Asante kwa jibu lako jepesi.

Heheee. Now i confirm that there is a soaked cotton wool in between your ears. Goodbye
 
Nyie kiherehere cha kumchokonoa ID Amin na kuingiza nchi kwenye vita kimewafanya mpo maskini hadi leo, mnalipia gharama hadi watoto wa leo. Vita sio lelemama, usianzishe ovyo, hususan vita baina ya nchi. Kule Somalia hatupigani na nchi ya Somalia bali tumeenda kupambana na magaidi na kwa ushirikiano wa jeshi la Somalia.

Migingo ni muhimu kwetu, lakini tayari kuna mambo yanafanyika kidiplomasia, hatuwezi kukurupuka na kuanza vita ovyo.
Go into details, r u fighting shabab ama you are just poor idiots dancing undisclosed outsourced drummer.?
Aisee Nyie ni wajinga kinoma, mmeacha kulinda mipaka ya nchi yenu mmeenda kuchezewa michezo michafu ya watu wakubwa,
Pool your poor soldiers out of Somali,
Halafu kama hao wanaovaa yeboyebo wametudhihirishia jinsi mko na Jeshi lenye poor intelligence na poor (poorest) warfare capabilities, do u think you'd challenge the competent baby face m7???
Can u??
 
Go into details, r u fighting shabab ama you are just poor idiots dancing undisclosed outsourced drummer.
Aisee Nyie ni wajinga kinoma, mmeacha kulinda mipaka ya nchi yenu mmeenda kuchezewa michezo michafu ya watu wakubwa,
Pool your poor soldiers out of Somali,
Halafu kama hao wanaovaa yeboyebo wametudhihirishia jinsi mko na Jeshi lenye poor intelligence na poor (poorest) warfare capabilities, do u think you'd challenge the competent baby face m7???
Can u??

WAOGA.You are living in the past... Unaongea mambo ya 1970's. Vita na Uganda. Try thing now and you will see things....
 
WAOGA.You are living in the past... Unaongea mambo ya 1970's. Vita na Uganda. Try thing now and you will see things....
Tanzania ktk issue ya medani huwa hatubahatishi tunajiamini ktk hilo na ni kwanini yyt athubutu watahadithiana kizazi na kizazi,tutapishana ktk mambo ya siasa lkn linapokuja suala la ulinzi wa mpaka yetu mpaka tone la mwisho la damu zetu tunatumia mpaka watoto na ndo hicho mkionacho hata wakiibuka alshabab hawasarvive tunaungana wanatokomezwa tunaendelea na sasa zetu,ndio uchawi pekee aliotuachia baba yetu Mungu amrehemu aliko,mf .kwa wing I wa kabila zetu mngekuwa Nazi mngechinja mpaka pabaki mbuzi tu hapo kwetu ni peace&love mjifunze kutoka kwetu.
 
WAOGA.You are living in the past... Unaongea mambo ya 1970's. Vita na Uganda. Try thing now and you will see things....
Hahaha. Nyang'au kelele mob uwezo sifuri,
M7 is a smart guy, he deployed soldiers up there because he knew he is stronger than u,
In fact Kenya and Kenyans aren't safe, (Do u know that besides having intelligence in your lazy KDF, meanwhile alshaabab militia have several training camps inside Kenya??)
ndiomaana wahabeshi Kule kaskazini huwatekenya makalio kila wakijiskia, na huku chini mganda anavinjari pale kisiwani Migingo, na alshababu wanafanya yao daily,
Delete that lazy KDF !!
Halafu usisahau kuwa wasomali wanataka sehemu ya bahari yao,
Kenya is a failed country.
 
Hahaha. Nyang'au kelele mob uwezo sifuri,
M7 is a smart guy, he deployed soldiers up there because he knew he is stronger than u,
In fact Kenya and Kenyans aren't safe, (Do u know that besides having intelligence in your lazy KDF, meanwhile alshaabab militia have several training camps inside Kenya??)
ndiomaana wahabeshi Kule kaskazini huwatekenya makalio kila wakijiskia, na huku chini mganda anavinjari pale kisiwani Migingo, na alshababu wanafanya yao daily,
Delete that lazy KDF !!
Halafu usisahau kuwa wasomali wanataka sehemu ya bahari yao,
Kenya is a failed country.

Bado kuna foolscaps hapa... Do you wanna write another Page???
 
Go into details, r u fighting shabab ama you are just poor idiots dancing undisclosed outsourced drummer.?
Aisee Nyie ni wajinga kinoma, mmeacha kulinda mipaka ya nchi yenu mmeenda kuchezewa michezo michafu ya watu wakubwa,
Pool your poor soldiers out of Somali,
Halafu kama hao wanaovaa yeboyebo wametudhihirishia jinsi mko na Jeshi lenye poor intelligence na poor (poorest) warfare capabilities, do u think you'd challenge the competent baby face m7???
Can u??

kuna swali niuliza juzi hapa (kama wakenya wanategemea ku achieve nini Somalia) hakuna mkenya alieligusa, kila moja wao wanangalia kwa jicho moja anapotea. Duh nikichekesho kweli
 
Nyie kiherehere cha kumchokonoa ID Amin na kuingiza nchi kwenye vita kimewafanya mpo maskini hadi leo, mnalipia gharama hadi watoto wa leo. Vita sio lelemama, usianzishe ovyo, hususan vita baina ya nchi. Kule Somalia hatupigani na nchi ya Somalia bali tumeenda kupambana na magaidi na kwa ushirikiano wa jeshi la Somalia.

Migingo ni muhimu kwetu, lakini tayari kuna mambo yanafanyika kidiplomasia, hatuwezi kukurupuka na kuanza vita ovyo.
Nani anamlipa mwenzie,kati ya Tz na Ug nani alimvamie mwenzie?,tumia akili zako vizuri...
 
Back
Top Bottom