Mzumbe dons in PhD scam

Mzumbe dons in PhD scam

Kwa sentensi yako hii, ndiyo ni moja ya mambo ya kujadikli, njia sahihi ya mtu kupitia kuwa Dr, au kuchkua degree, wakati kija wa miaka 22 Ulaya amemaliza degree, kijana wa miak 30 TZ anakimbizana na madarasa !

we have serious problem that we have adpted system that was meant for wakoloni, hatujabadilika, kuna wengine humu naona wamecrame tu, hakuna jipya, hata kama kuna silutiona au njia nzuri

Lets start from primary, vyuo hivi ni majaliwa , kwani ordinary education ndiyo inaoperate dunia kila siku. Hivi kusoma yale masomo ya darasa la tano sita na saba kwa kiswahili , halafu kurudia tena form one na two kwa kiingereza ni sawa??

Halafu wengi mnasahau chu zile ni kozi jamani siyo masomo kama ya form six, course was meant to train someone to work! sio kujaza course kwenye vyeti!

Waberoya:

Matatizo tuliyonayo ni kuwa watu wana-model mfumo wa elimu kupitia experience yao ya maisha.

Ukiangalia mfumo mzima wa elimu wa Tanzania ume-model maisha ya Baba wa Taifa.
 
Hizi univesity mbona zimegeuka sophist school! twalipa 1m darasani wakaa 1000 viti hakuna wanafunzi kuningínia madirishani kama wanatizama maonyesho ya mazingaombwe.

Hivi vyuo havina tofauti na school za akina Protagoras Predicus na Hippias. Zao fedha tu. Hawa maprofesa wa kudown load kwenye google ndo tunalipa ada ya 1m kwa knowledge gani wanayopata watoto wetu!

Tizama hawa wa kitivo cha sheria kutwa nzima wako mahakamani wakiwatetea mafisadi na maharamia hata soni hawana. wako na makoti meusi wakisikia haramia liko lupango wameshawasha escudo zao kulifuata.

Ipo siku tutawachapa mboko tu.
 
Education system ya tanzania ni ya imla. Madhara yake ndio tuna incubate watoto ambao wana high craming capacity, lakini when it come to innovation and research ni balaa tuuu.

Ukweli ni kwamba PhD holder wengi kwenye hizi new universities wamezipata kijanja janja. Ndio maana kuona publications zilizofanywa na watanzania ni dadra kama vile kumuona kaka kuona.

Na kila watu wanapogisia kufanya revamp ya education system, argument zinakuwa kubwa. Ukweli ni kwamba elimu yetu ni ya kikoloni, and it was structured kusave wakoloni needs, sasa tunakwenda kwenye new era so eventual it will collapse in the future. You either like or dont.
 
Mzumbe dons in PhD scam

PIUS RUGONZIBWA, 11th February 2009 @ 11:16​

Eight senior lecturers with the Mzumbe University have doctorate degrees that are either fake or acquired from institutions that lack internationally accepted accreditation, the Tanzania Commission of Universities (TCU) said today.

TCU Executive Secretary, Prof Mayunga Nkunya, said in an interview that it was recently established that some dons at the Morogoro-based varsity held questionable degrees. He said verification of the degrees was carried out after widespread public complaints on the authenticity of the degrees.

The matter was also repeatedly raised in the National Assembly. Prof Nkunya said TCU has already communicated its findings to the government for further action. He cautioned the public to be careful with some foreign institutions and individuals who were of late increasingly peddling undergraduate and graduate around the world.

The TCU chief said he was aware that some degrees were selling at around 2,000 US dollars (about 2.7m/-) and above. He said such offers were often being made online. "It is ridiculous that these people are even sending a lot of e-mails to me, asking me to take part in the deals.

I have received many such offers," he said. He, however, declined to name the universities, local agents and individuals involved in the academic scam. "We need to gather all the facts on the transactions, otherwise they may sue us," he cautioned further. Prof Nkunya warned members of the academic staff in institutions of higher learning against pursuing online courses, including degrees from unknown universities.

He also doubted the competency of online graduates in the world of research and academia, where they would need skills of impacting knowledge to their students. "Such lecturers cannot do research professionally. They cannot teach well their students and help them become good researchers," he pointed out. Prof Nkunya said further that apart from the higher learning institutions, the problem of fake degrees was rampant in other organisations, saying TCU recently discovered five other fake doctorate degrees. He said there were proposals to amend the Universities Act, to give more teeth to TCU deal with proven culprits including prosecution.
Duuh
 
Back
Top Bottom