Kichwa Ndio Mtu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 3,079
- 1,711
Kwa kweli jamani chuo kikuu,Dar cumpus ni chuo cha makanjanja,kinaendeshwa kienyeji
Wanafunzi wa masters toka tumemaliza coarse work mwaka jana july ndio sasa wametoa majina ya supervisors tuanze research,kwa kawaida mkimaliza coarse work mnaunganisha reseach ila kwa mzumbe mambo ni tofauti.
Tulioanza nao wa Udsm washa graduate huku sisi hatujui tunagraduate lini.
Ushauri wangu,vijana kama mnataka elim bora,msiombe kusoma mzumbe elim ya masters,hakuna kitu pale,wahadhiri wanapenda pesa,ukimpa pesa anakufanyia kila kitu.
Wanafunzi wa masters toka tumemaliza coarse work mwaka jana july ndio sasa wametoa majina ya supervisors tuanze research,kwa kawaida mkimaliza coarse work mnaunganisha reseach ila kwa mzumbe mambo ni tofauti.
Tulioanza nao wa Udsm washa graduate huku sisi hatujui tunagraduate lini.
Ushauri wangu,vijana kama mnataka elim bora,msiombe kusoma mzumbe elim ya masters,hakuna kitu pale,wahadhiri wanapenda pesa,ukimpa pesa anakufanyia kila kitu.