mzumbe

wewe lazima utakuwa courz za mabinti(HRM, HSM,BBA-MARKETING,, RAM,LGM na nyinginezo) kwa hiyo jipange mdogo wangu utakutana na watu wanaokula applied statistics hawana mda na mambo haya ya net!!! kuna wapaka pouder wenzio wa-medisco ukiondoka kwenu usitangaze mtaani!!!!!:A S 465:
 
hahahahaha umeniacha hoi kwa kicheko
 
kweli kaka nakwambia..watu wanalia hapa mzumbe..test 3 kwa wiki moja!! yaan ni majanga
 
acheni uvivu mlienda chuo kusoma sio kuuza sura test kama kawa na huo ni mwanzo tunategemea kuongeza vipindi ili kuwabana zaidi
 
sasa vipind vikiongezwa c wanafunzi weng watafeli maana mda wa kusoma utakuwa mchache!!
 

Mkuu kwa vijembe we nouma...
 
sasa vipind vikiongezwa c wanafunzi weng watafeli maana mda wa kusoma utakuwa mchache!!

assignment kibao ili mpunguze kwenda mjini na migomo ipungue ss ni kazi mpaka mshike adabu chuo ni kusoma sio kuuza sura sasa hatutaki wataalam feki
 
kufunga kaka kama kwenye tarehe kumi hivi..! coz mtihan tunaanza tarehe 1 mwez wa kumi!
 
sasa ninaanza kuwa na mashaka na maelezo yako!! wewe umesikia wapi mzumbe kuna migomo?
 
nyie mnafungua kama tarehe 15 ya mwez wa kumi sisi tukiwa tuna likizo ya wiki moja kama sio wiki mbili!! tukirudi ndo wote tunaanza kusoma!!
 

Kijana acha dharau, hayo ni mambo ya zamani. Kwa akili ulizonazo inaonekana bado hujapevuka. Yaani hata field hujaenda maana una akili za kisekondari.
Tena hao unaowasema kuwa wanasoma course za mabinti wengi wao ndio watakuwa mabosi wako
 
nyie mnafungua kama tarehe 15 ya mwez wa kumi sisi tukiwa tuna likizo ya wiki moja kama sio wiki mbili!! tukirudi ndo wote tunaanza kusoma!!

kaka hebu tupe ripoti hostel za ndani ni nzuri na upatikanaji wake je unasumbua.
 
hosteli ukiwahi unapata na kawaida mwaka wa kwanza wote lazima mkae ndani ya chuo!! weh ukiwahi lazima upate hosteli ..angalizo: jitahidi kufanya usajili mapema!
 
halafu wewe inaonekana mwanasiasa..hembu acha siasa ..siasa sio nzuri!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…