kawaida 1 year wote lazima walale ndani ya campus...ila kama kwenu mna hela za kutosha unaweza ukalala hata off -campus au hata mjini..suala lililopo hapa ni maamuzi yako wewe mwenyewe!! kwa mfano sisi watoto wa wakulima tunalala ndani ya campus kwa sababu accommodation ni bei rahisi!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.