kawaida 1 year wote lazima walale ndani ya campus...ila kama kwenu mna hela za kutosha unaweza ukalala hata off -campus au hata mjini..suala lililopo hapa ni maamuzi yako wewe mwenyewe!! kwa mfano sisi watoto wa wakulima tunalala ndani ya campus kwa sababu accommodation ni bei rahisi!!