mzumbe

Nyabisi

New Member
Joined
Aug 13, 2012
Posts
2
Reaction score
0
kwa wale waliopo mzumbe main campus please nisaidieni kwa hili ni lazima kwa mwaka wa kwanza kulala campus ya chuo au hata off campus ?
 
kawaida 1 year wote lazima walale ndani ya campus...ila kama kwenu mna hela za kutosha unaweza ukalala hata off -campus au hata mjini..suala lililopo hapa ni maamuzi yako wewe mwenyewe!! kwa mfano sisi watoto wa wakulima tunalala ndani ya campus kwa sababu accommodation ni bei rahisi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…