Mzungu ananiomba nimtumie Amazon Gift Card. Nielekezeni tafadhali

Mzungu ananiomba nimtumie Amazon Gift Card. Nielekezeni tafadhali

Unatapeliwa
Unamtumia hiyoo giftcard ana exchange hiyo giftcard to bitcoins
Then Bitcoins to cash!!
Simple tuuu!!
Haina tofauti na kukuomba hela!!
So amekuomba hela indirect way!!
Huyo atakuwa mghana, mnigeria au mhindi!!

Nicheck nikutumie link,
Akidhubutu
Akigusa hiyo link, utapata ipadress yake, device anayotumia etc
Hata kama anatumia vpn
mkuu nitumie hiyo link
 
Ndio maana mimi sitaki kabisa kujifunza kingereza. Sema ukweli wako ungekuwa ujui kingereza ungeombwa hiyo zawadi?
Nisingeombwa, mtandao unaitwa Evermatch, wazungu wa kutosha huko. Sijui picha za uongo
 
Gutuka haraka sana ...unatengenezewa mchoro wa kupigwa

kama umeona brother Jr. Akichelewa tu ameliwa, nilikutana nao wengi tu, mara ya mwisho ni binti wa Ki-Egypty, natumiwa picha mpaka kwenye email. Wengine mpaka kutaka ku transfer pesa zije kwangu then ni Invest..NINACHOKIFANYA NI KUSEMA HAPANA, NASOMA UJUMBE NA KU DELETE TU.
 
Wahuni hoa wa kinaigelia kuna kisa bhana cha mwaka Jana cha demu alikuwa ni msenegal na nini akadai kuwa yeye ni yatima yupo kambi ya walinzi wa usalama kutokana na machafuko ya nchini kwao nanini akadai baba ake amemwachia dola milioni 10 akadai kwa sheria ya kule hawawezi kutoka hiyo hela yote akaniomba nimtumie vitambulisho vyangu na ananipenda sana ili aonge na WAKILI wake afanye kitu kinachoitwa next of kin maana ake mwanasheria akadhibitishe mahakami kuruhu kutolewa hichi kiasi cha pesa kwahiyo nilichokuwa nataka kufanya nimtumie kama kiasi cha lakini 3 anitengeneze kadi na kutumiwa kupitia DHL ILI nizitoe zile hela .......

umenifanya nicheke sana, ,ara nyingi mimi nakutana nao Katika FIFA PLATFORM YA KOZI MBALIMBALI...LAKINI CHA AJABU UKI SEARCH PROFILE YA HUYO MTU HAIPO! LAKINI AMEWEZA KUKUTUMIA PRIVATE TXT KUPITIA FORUM HIYO
 
umenifanya nicheke sana, ,ara nyingi mimi nakutana nao Katika FIFA PLATFORM YA KOZI MBALIMBALI...LAKINI CHA AJABU UKI SEARCH PROFILE YA HUYO MTU HAIPO! LAKINI AMEWEZA KUKUTUMIA PRIVATE TXT KUPITIA FORUM HIYO
Kwenye email sijui wanajuaje kuwa Huyu ni verify na active wanakuwa wamejipanga nilikutana nao hao scummers kama 4 Twitter na 4 kwenye email yangu nomaa
 
Wadau nimekutana na mzungu kwa njia ya mtandao. Anaishi Marekani. Sasa ananiomba nimtumie Amazon Gift card. Nime Google hii kadi sielewi vizuri. Pia naona kama ya kununua kwa dola.

Je, huyu mzungu anamaanisha nini kuomba kadi ya gharama? Msaada na ushauri wako muhimu.
Mtu yuko Marekani anakuomba wewe wa Tz? Unaamini?!
 
Hahaa yahoo boys kazini ..ogopa sana wa-nigeria Ghana na wa SA ...soon utaingizwa mjini. Kmmk
 
Unatapeliwa
Unamtumia hiyoo giftcard ana exchange hiyo giftcard to bitcoins
Then Bitcoins to cash!!
Simple tuuu!!
Haina tofauti na kukuomba hela!!
So amekuomba hela indirect way!!
Huyo atakuwa mghana, mnigeria au mhindi!!

Nicheck nikutumie link,
Akidhubutu
Akigusa hiyo link, utapata ipadress yake, device anayotumia etc
Hata kama anatumia vpn
Mkuu tutumie hiyo link hapa tufaidike wote. Chonde chonde tunakuomba sana.
 
Gutuka haraka sana ...unatengenezewa mchoro wa kupigwa
hahaha mwaka juzi kuna rafiki yangu alikutana na ishu kama hii. aliambiwa kuna mkutano wa vijana utafanyika ACRAA. lakini jamaa atume USD kwa ajili ya registrations na ujinga mwingii. akaambiwa nikija ACRAA tutakuwa wote mm ni wako. akapigwa vizuri kabisa
 
hahaha mwaka juzi kuna rafiki yangu alikutana na ishu kama hii. aliambiwa kuna mkutano wa vijana utafanyika ACRAA. lakini jamaa atume USD kwa ajili ya registrations na ujinga mwingii. akaambiwa nikija ACRAA tutakuwa wote mm ni wako. akapigwa vizuri kabisa
Aisee!
 
Back
Top Bottom