Mzungu ananiomba nimtumie Amazon Gift Card. Nielekezeni tafadhali

mkuu nitumie hiyo link
 
Ndio maana mimi sitaki kabisa kujifunza kingereza. Sema ukweli wako ungekuwa ujui kingereza ungeombwa hiyo zawadi?
Nisingeombwa, mtandao unaitwa Evermatch, wazungu wa kutosha huko. Sijui picha za uongo
 
Gutuka haraka sana ...unatengenezewa mchoro wa kupigwa

kama umeona brother Jr. Akichelewa tu ameliwa, nilikutana nao wengi tu, mara ya mwisho ni binti wa Ki-Egypty, natumiwa picha mpaka kwenye email. Wengine mpaka kutaka ku transfer pesa zije kwangu then ni Invest..NINACHOKIFANYA NI KUSEMA HAPANA, NASOMA UJUMBE NA KU DELETE TU.
 

umenifanya nicheke sana, ,ara nyingi mimi nakutana nao Katika FIFA PLATFORM YA KOZI MBALIMBALI...LAKINI CHA AJABU UKI SEARCH PROFILE YA HUYO MTU HAIPO! LAKINI AMEWEZA KUKUTUMIA PRIVATE TXT KUPITIA FORUM HIYO
 
umenifanya nicheke sana, ,ara nyingi mimi nakutana nao Katika FIFA PLATFORM YA KOZI MBALIMBALI...LAKINI CHA AJABU UKI SEARCH PROFILE YA HUYO MTU HAIPO! LAKINI AMEWEZA KUKUTUMIA PRIVATE TXT KUPITIA FORUM HIYO
Kwenye email sijui wanajuaje kuwa Huyu ni verify na active wanakuwa wamejipanga nilikutana nao hao scummers kama 4 Twitter na 4 kwenye email yangu nomaa
 
Mtu yuko Marekani anakuomba wewe wa Tz? Unaamini?!
 
Hahaa yahoo boys kazini ..ogopa sana wa-nigeria Ghana na wa SA ...soon utaingizwa mjini. Kmmk
 
Mkuu tutumie hiyo link hapa tufaidike wote. Chonde chonde tunakuomba sana.
 
Gutuka haraka sana ...unatengenezewa mchoro wa kupigwa
hahaha mwaka juzi kuna rafiki yangu alikutana na ishu kama hii. aliambiwa kuna mkutano wa vijana utafanyika ACRAA. lakini jamaa atume USD kwa ajili ya registrations na ujinga mwingii. akaambiwa nikija ACRAA tutakuwa wote mm ni wako. akapigwa vizuri kabisa
 
Aisee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…