Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 12,823
- 21,210
Yes, you heard it correctly!
Mzungu mmoja katika moja ya video zilizopakiwa kwenye mtandao wa BBC anasema mahali kama Kenya watu wenye kuonesha akili nyingi na vipaji vya hali ya juu huwa wanakatishwa masomo yao na kuchukuliwa kama wasaidizi (apprentices) wa watu waliopo kwenye shuguli flani zenye kuhitaji uzoefu na mtu mwepesi kujifunza.
Wale ambao akili zao nzito au za kawaida na wasiokuwa na vipaji vikubwa au uwezo mkubwa wa kujifunza haraka ndiyo hawana chaguo zaidi ya kuendelea kusoma sana hadi ngazi za juu za elimu, sababu hawa wasipoendelea kusoma wanakosa kuchukuliwa na wataalamu wa mambo flani yaliyopo kwenye jamii husika.
Soma zaidi hapa Why you might actually be smarter than you think - BBC Ideas kabla haujaanza kuhisi nawachafua wakenya. Mzungu huyu sijui kawaonaje wakenya kiasi cha kuhisi wasomi wao ndiyo vilaza kwenye jamii yao.
Wale mafundi wa fani mbalimbali na wataalamu shughuli za kiasili kama uganga wakienyeji ndiyo wenenye akili nyingi sana, hivyo waliachishwa wasiendelee na masomo wakapige kazi za uganga na ufundi mchundo (craftsmanship) huko mitaani.
Kwa hivyo wale ndugu zetu mafundi uashi (break layers), mafundi pikipiki (The mechanics), wachongaji vitu, wafinyanzi, na wasusi jipigeni vifua nyie ndiyo geniuses na talented people wa Kenya.
Ingawa mimi mtanzania naona kama hizi dharau za mzungu katulenga waafrika weusi wote japo katumia wakenya kama mfano sababu wanapenda sana kuabudu wazungu.
NO HARD FEELINGS.
CC: MK254 waite na wakenya wengine wamuwashie moto huko twitter huyu beberu hadi aombe radhi au aweke ushahidi wa alichosema.
Mzungu mmoja katika moja ya video zilizopakiwa kwenye mtandao wa BBC anasema mahali kama Kenya watu wenye kuonesha akili nyingi na vipaji vya hali ya juu huwa wanakatishwa masomo yao na kuchukuliwa kama wasaidizi (apprentices) wa watu waliopo kwenye shuguli flani zenye kuhitaji uzoefu na mtu mwepesi kujifunza.
Wale ambao akili zao nzito au za kawaida na wasiokuwa na vipaji vikubwa au uwezo mkubwa wa kujifunza haraka ndiyo hawana chaguo zaidi ya kuendelea kusoma sana hadi ngazi za juu za elimu, sababu hawa wasipoendelea kusoma wanakosa kuchukuliwa na wataalamu wa mambo flani yaliyopo kwenye jamii husika.
Soma zaidi hapa Why you might actually be smarter than you think - BBC Ideas kabla haujaanza kuhisi nawachafua wakenya. Mzungu huyu sijui kawaonaje wakenya kiasi cha kuhisi wasomi wao ndiyo vilaza kwenye jamii yao.
Wale mafundi wa fani mbalimbali na wataalamu shughuli za kiasili kama uganga wakienyeji ndiyo wenenye akili nyingi sana, hivyo waliachishwa wasiendelee na masomo wakapige kazi za uganga na ufundi mchundo (craftsmanship) huko mitaani.
Kwa hivyo wale ndugu zetu mafundi uashi (break layers), mafundi pikipiki (The mechanics), wachongaji vitu, wafinyanzi, na wasusi jipigeni vifua nyie ndiyo geniuses na talented people wa Kenya.
Ingawa mimi mtanzania naona kama hizi dharau za mzungu katulenga waafrika weusi wote japo katumia wakenya kama mfano sababu wanapenda sana kuabudu wazungu.
NO HARD FEELINGS.
CC: MK254 waite na wakenya wengine wamuwashie moto huko twitter huyu beberu hadi aombe radhi au aweke ushahidi wa alichosema.